TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
- Thread starter
- #41
Waliona huu ni uchafu ndio maana wakaileta huku.
Kama ni uchafu si wangeufuta moja kwa moja na wangenipiga Ban! Unajua Rejao mi nafanya kazi tiGo so nimedaka maongezi yako na Nape kama yalivyo nikayaleta hapa. Tatizo Mods hawaamini! Wanadhani ni Jokes kumbe ni kweli!