The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Pc ni msuli unaotawala uke na kibofu cha mkojo.kama mke ana msuli imara wa pc uke wake unaweza kuubana sawasawa uume wa mumewe na kama ni dhaifu uke wake unakuwa ni mkubwa mno hivyo kushindwa kupata msisimko wakati wa tendo la ndoa . jinsi ya kufanya mazoezi ya kuimarisha msuli wa pc 1: tambua tofauti ya msuli wa paja na msuli wa pc.msuli wa pc ndo unaobana mkojo usitoke na mazoezi haya hufanywa wakati wa kukojoa ambapo magoti yatakuwa yametanuka ndipo utazuia mkojo kwa sekunde kazaa endelea kuzia na kuachia hadi kibofu kiishe mkojo.kila unapofunga mkojo unabana msuli wa pc.lakini magoti yakiwa yamebanwa unabana msuli wa paja.