hivyo vindege hata manati yaweza kuvipopoa ..... tena wananchi wawe makini .... zaweza kulipuka zenyewe .... pale msata mwaka jana ndege vita imedondoka yenyewe
Hivyo vitisho tumesha zoea, bado mazoezi ya vifaru kwani mazoezi ya mabomu wamesha maliza, lakini atishiwi mtu nyani apa, vita mbele mpaka kieleweke. CCM mkifika 2015 kweli mnabahati
Wala Kikwete asitutishe na nyoka aliyekufa; midege yote ya kijeshi, vyombo vyote vya dola ni mali zetu sisi wenyewe ndio tunaozigharamia siku zote na wala hatukuviweka hapo kuwalinda mafisadi kwa namna yoyote ile!!!
wasije wakayandondosha midege yenyewe mara ya mwisho kuwashwa ni miaka ya 80 wakati wa vita ya Amini, haiaminiki, wakafanyie huko anga ya baharini mbali na si kwenye anga ya makazi ya watu, tafadhali.
Watu hatuna imani kabisa, juzi juzi tu wamefanya uzembe mabomu yamelipuka hatujasahau hata kidogo eti mazoezi ya ndege za kijeshi kwenye anga letu.
kitendo hiki kwa sasa kinatutisha watanzania tulio wengi kwani hatuiamini tena serikali na vifaa vyake vya kijeshi. kama mkidondosha ndege au kugonga jengo this time no body will understand you kama gongo na mbagala things will change completely. kwanini msifanyie baharini bwana?????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.