Mazoea ya kutumia mlango wa nyuma

Afrika Furaha

JF-Expert Member
Dec 16, 2010
329
9
Wana JF, kipindi hiki cha sikukuu watu wanatembeleana sana majumbani. Ktk nyingi nimejionea kitu kimoja kikubwa. Utakuta nyumba ina mlango wa mbele, ambao kimsingi ukiingia hapo utaanza kuingia sitting room. Pia kuna mlango wa pili ambao ukiingia unaanza kuona jikoni. Sasa kuna nyumba ambazo hazitumii kabisa mlango wa mbele, hata waje wageni wa wapi, na hata ukiingia ndani unaweza kukuta wameweka kochi mlangoni kwa ndani. Badala yake watu huingia ndani kwa kupitia uani au jikoni . . . sasa sijaelewa kwa nini kuna mazoea haya??
 
Mwe!
Du! na mimi nataka nianzishe thread yangu juu ya makopo ya chooni.
Kwanini huwa yanakaa sana bila kubadilishwa? sasa sijaelewa?
 
Mwe!
Du! na mimi nataka nianzishe thread yangu juu ya makopo ya chooni.
Kwanini huwa yanakaa sana bila kubadilishwa? sasa sijaelewa?

You are so funny!!! sasa Jaba-Li kauliza tu pole pole, we unamjibu hivi ili iweje jamani? si topic yake na yeye anataka maoni? lolest
 
Wewe unapokaribishwa kwenye nyumba za watu unaanza kutafuta kasoro? Strange?
 
Ni mambo ya usalama tu wa kwenye hizo nyumba. Mara nyingi wakubwa wakienda kuchacharika, mahousegirl/boys na watoto shughuli zao nyingi zinakamilishwa kwa kutumia huo mlango wa nyuma. Mlango wa mbele unafungwa kwa muda mrefu kwa vile waliopo wanashinda jikoni au uani/nyuma. Sasa mgeni kama si mwizi, atalazimika kuzunguka huko nyuma, ili wamwone ndio angie ndani. Vinginevyo kama mlango wa mbele ukitumika, halafu wakajisahau ku-lock, mwizi/ tresspasser anaweza kupitia hapo na kuleta tabu zingine.
 
Ni mambo ya usalama tu wa kwenye hizo nyumba. Mara nyingi wakubwa wakienda kuchacharika, mahousegirl/boys na watoto shughuli zao nyingi zinakamilishwa kwa kutumia huo mlango wa nyuma. Mlango wa mbele unafungwa kwa muda mrefu kwa vile waliopo wanashinda jikoni au uani/nyuma. Sasa mgeni kama si mwizi, atalazimika kuzunguka huko nyuma, ili wamwone ndio angie ndani. Vinginevyo kama mlango wa mbele ukitumika, halafu wakajisahau ku-lock, mwizi/ tresspasser anaweza kupitia hapo na kuleta tabu zingine.

naona wa obey itakuwa ngumu kuunganisha lakini mie wa sinza kwa bi nyau meseji delivadi
 
Mwe!
Du! na mimi nataka nianzishe thread yangu juu ya makopo ya chooni.
Kwanini huwa yanakaa sana bila kubadilishwa? sasa sijaelewa?

HA HA HA THAT IS FUNNY DUH UMINIMALIZA INAWEZEKANA NI SAWA NA MISWAKI MPAKA UCHAKAE!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom