sa jaman c bora kula viaz vyenyewe au hayo mahind au mihogo! ki ukwel ipo cku kutakua hakuna hata kitu kimoja ambacho ni halis na ni hapo sasa oceanroad hospt itakua haitosh.Inaweza kuwa kweli. Nishasikia toka kwa kijana niliyrssfiri naye kati ya moro na dar. Tulipoposhana ns gari lao ndipo akaanzisha mada ya maziwa. Yeye alisema yanachang'anywa na viazi.
siku hizi watu kwa kuharibiana biashara......
ngoja nijipange niende tanga kiwandan kwao then takachokiona takiweka hapa!Hawa jamaa wa Tanga Fresh wako makini tena wako very open na mfumo wao wa kupokea na kusindika maziwa tumetembelea pale mara kadhaa na wanakaribisha watu kiwandani kuona na kutembelea mfumo mzima wa usindikaji.