Maziwa ni chakula au kinywaji?

Namnauka

Member
Jan 12, 2008
5
0
Nina tatizo moja dogo, nimejaribu kuongea na baadhi ya watu hawajanipa jibu la kitaalamu sana.
Mtoto mchanga toka kuzaliwa mpaka kufikisha umri fulani huwa inashauriwa awe anapewa maziwa ya mama tu na kwa kuangalia utaona choo anachopata ni kama anaharisha yaani choo kinakuwa laini kama maji na anapata haja ndogo.
Baada ya mwezi mmoja na zaidi anaendelea kunyonya maziwa yaleyale bila chakula chochote lakini sasa akienda choo kinakuwa kigumu kidogo na sio majimaji tena. Je nini kinakuwa kimebadilika katika mfumo wake wa chakula? (sababu nilitegemea aendelee kupata choo cha majimaji (kama uharo) kwa kipindi chote anachopata maziwa ya mama).

Kwahiyo kwa mtoto au mtu mzima maziwa ni kinywaji au ni chakula? Yaani ukitumia maziwa tu utaenda haja kubwa au haja ndogo?

Maziwa tunakula au tunakunywa?

Kuuliza ni kujifunza naomba ufafanuzi.......!
 
Nina tatizo moja dogo, nimejaribu kuongea na baadhi ya watu hawajanipa jibu la kitaalamu sana.
Mtoto mchanga toka kuzaliwa mpaka kufikisha umri fulani huwa inashauriwa awe anapewa maziwa ya mama tu na kwa kuangalia utaona choo anachopata ni kama anaharisha yaani choo kinakuwa laini kama maji na anapata haja ndogo.
Baada ya mwezi mmoja na zaidi anaendelea kunyonya maziwa yaleyale bila chakula chochote lakini sasa akienda choo kinakuwa kigumu kidogo na sio majimaji tena. Je nini kinakuwa kimebadilika katika mfumo wake wa chakula? (sababu nilitegemea aendelee kupata choo cha majimaji (kama uharo) kwa kipindi chote anachopata maziwa ya mama).

Kwahiyo kwa mtoto au mtu mzima maziwa ni kinywaji au ni chakula? Yaani ukitumia maziwa tu utaenda haja kubwa au haja ndogo?

Maziwa tunakula au tunakunywa?

Kuuliza ni kujifunza naomba ufafanuzi.......!

Ama kweli umeniacha hoi Broda!...Uliwaza nini kufikiria hii maneno?

My take:

KWA MTU MZIMA-MAZIWA MGANDO NI CHAKULA
- YA FRESH NI KINYWAJI.

KWA MTOTO....MAZIWA FRESH NI CHAKULA, na mtoto mchanga hatakiwi kunywa mtindi!....nimemaliza
 
Back
Top Bottom