Maziwa matamu,lakini...

Ingekuwepo ningenunua contena,maana napenda sana kulamba ila naogopa kukutana na surprise lol

Ha ha ha,ume nikumbusha jamaa mmoja aliwahi harisha kweli
kwa kuvamia chakula cha mtoto.
 
Kuna article naisaka apa inayohusu namna unyonyaji wa maziwa iwe mtoto au mtu mzima inavyopunguza uwezekano wa mama kupata Cancer
Nkiipata ntawaiweka hadharani

Poa mkuu,iwahishe basi
 
374106_3223275640348_1066276891_n.jpg


Ndio,ni mazuri sana,wanaume wengi hupenda sana kuya chezea
na hata kunyonya, of course,nami nimo pia.

Lakini,moja kati ya matatizo yanayo wapata wanawake wengi ni kansa ya maziwa.
je,tuna usalama gani sisi tunao kimbilia kunyonya?

Ni lini utajua ni salama,na lini sio salama kunyonya?

Utakuaje ukinyonya kwa mtu alie na breast cancer ?

Tuna pigana vipi na janga hili katika jamii yetu?

Mkuu.., Nijuavyo Mimi..., Kansa ni Mfumo wa seli zilizohasi (rebellious cell ) katika Mfumo wa kawaida wa Mwili wa Binadamu, Mfano. Kama Mfumo wa kawaida wa seli za Mwili wa Binadamu ni kutoka KUSHOTO kwenda KULIA then inapotokea kwamba seli au jamii ya seli ya mwili wa Binadamu inahasi katika Mfumo rasmi / kawaida kwa kutoka KULIA kwenda KUSHOTO,ndio hapo inapotokea ugonjwa unaoitwa Kansa.

Kwa ujumla si ugonjwa ambao unatokana na maambukizo ( Transimission Disease ) au unaoambukiza ( Transimitted) kwa kumgusa,kumshika au kunyonya Maziwa ya muhusika kama thread hii inavyobainisha.., Hapana.!!, Ni ugonjwa unaofuata "FAMILY TREE" au kwa kifupi zaidi ni INHERITAGE Disease
Weka doti Mwisho hapo kulia juu.
 
Hehehe, hapa kuna mtu anaibiwa. Anyways hata mie niko 17. Usinyonye anything maana vyote vinavyonyonyeka vinaweza kukuletea kansa ya koo. Namaanisha VYOTE
King'asti usidanganywe na JF IDs na umri wa membership.
Am very young aisee,ndo najifunza saivi kuingia kwenye
mambo ya kikubwa.
 
Hehehe, hapa kuna mtu anaibiwa. Anyways hata mie niko 17. Usinyonye anything maana vyote vinavyonyonyeka vinaweza kukuletea kansa ya koo. Namaanisha VYOTE

king'ati utani huo.
Mie kiukweli niko 21,ndo naanza kujifunza maana
nahisi mwili uko tayari sasa.

kwani vingine vya kunyonya ni vipi mkuu?
Nipe somo basi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom