Maziwa matamu,lakini...

Speaker

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
6,324
2,238
374106_3223275640348_1066276891_n.jpg


Ndio,ni mazuri sana,wanaume wengi hupenda sana kuya chezea
na hata kunyonya, of course,nami nimo pia.

Lakini,moja kati ya matatizo yanayo wapata wanawake wengi ni kansa ya maziwa.
je,tuna usalama gani sisi tunao kimbilia kunyonya?

Ni lini utajua ni salama,na lini sio salama kunyonya?

Utakuaje ukinyonya kwa mtu alie na breast cancer ?

Tuna pigana vipi na janga hili katika jamii yetu?
 
Utakuaje ukinyonya kwa mtu alie na breast cancer?

Tuna pigana vipi na janga hili katika jamii yetu?
as far as i know cancer is not a communicable disease. cancer is treatable ikiwahiwa lakini sijui njia yoyote ya kuzuia isitokee
 
kupata cancer inategemea na exposure ya kitu fulan Kwa mfano exposure ya radiation mbalimbal,food poison n.k
 
do u think cancer is a transimitable dzz?

Sijui aisee,ndo maana nikauliza kuna usalama gani utakapo
nyonya kwa mwenzi wako,yeye akiwa hajui kama ana kansa na baadae ika
gundulika anayo.
 
as far as i know cancer is not a communicable disease. cancer is treatable ikiwahiwa lakini sijui njia yoyote ya kuzuia isitokee

Well,maybe huku kunyonya nyonya nako kunaweza kuwa kuna
sababisha aina nyingine ya kansa kwa wanaume na watoto?
Una semaje?
 
Well,maybe huku kunyonya nyonya nako kunaweza kuwa kuna
sababisha aina nyingine ya kansa kwa wanaume na watoto?
Una semaje?

Hahaha, labda umtafune maana meno mengine yana poison, nafikiri yakitoka maji-maji time ya kunyonya ndio inaweza kuleta madhara kwa mwanaume au mtoto. Ama kama makavu naona hamna mushkila.

Hamna condom ya mdomo - hahaha.
 
Hahaha, labda umtafune maana meno mengine yana poison, nafikiri yakitoka maji-maji time ya kunyonya ndio inaweza kuleta madhara kwa mwanaume au mtoto. Ama kama makavu naona hamna mushkila.

Hamna condom ya mdomo - hahaha.

kondom ya chini tu kuvaa shida utavaa ya mdomo.hahahaha
 
Ndio maana wanaume tunapata cancer za koo kumbe wengi wetu wananyonya sana hii kitu eeh
 
Well,maybe huku kunyonya nyonya nako kunaweza kuwa kuna
sababisha aina nyingine ya kansa kwa wanaume na watoto?
Una semaje?
umenifanya niende online na kusoma a bit nikaona hizi habari. unless ukifanya #1, hakuna namna ya 'kusambaza' breast cancer from 1 person to another. this applies to all cancer types.
  1. Bernard Peyrilhe - Wikipedia, the free encyclopedia
  2. Transmission of breast cancer--a controversy reso... [Clin Genet. 1992] - PubMed - NCBI
  3. How the breast cancer can be transmitted? - Yahoo! Answers
 
Hahaha, labda umtafune maana meno mengine yana poison, nafikiri yakitoka maji-maji time ya kunyonya ndio inaweza kuleta madhara kwa mwanaume au mtoto. Ama kama makavu naona hamna mushkila.

Hamna condom ya mdomo - hahaha.

Ingekuwepo ningenunua contena,maana napenda sana kulamba ila naogopa kukutana na surprise lol
 
Kuna article naisaka apa inayohusu namna unyonyaji wa maziwa iwe mtoto au mtu mzima inavyopunguza uwezekano wa mama kupata Cancer
Nkiipata ntawaiweka hadharani
 
Back
Top Bottom