Chokochoko
JF-Expert Member
- Oct 15, 2011
- 438
- 183
jamani kuna0tatizo linanisumbua nikinywa maziwa fresh najambajamba ovyo mpaka imekua kero kutwa nzima usiku kucha
mpaka naona aibu embu nijuzeni anaejua uhusiano wa kujamba na maziwa ukoje au ninamatatizo mengioe?
mpaka naona aibu embu nijuzeni anaejua uhusiano wa kujamba na maziwa ukoje au ninamatatizo mengioe?