Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,570
Nimehudhuria heshima za mwisho kwa Prof. Jwan Mwaikusa zilizo fanyika Nkruma Hall, UDSM
Daah, JF ipo kila mahali. Thanks Pasco, endelea kutuhabarisha.Nimehudhuria heshima za mwisho kwa Prof. Jwan Mwaikusa zilizo fanyika Nkruma Hall, UDSM
Live: Mazishi ya Prof. Jwan Mwaikusa
Nilipoona title mara ya kwanza, nilidhani upo eneo la mazishi (makaburini)Nimehudhuria heshima za mwisho kwa Prof. Jwan Mwaikusa zilizo fanyika Nkruma Hall, UDSM
Heshima za mwisho zinaendelea.
Pasco ni mmoja wa wanafunzi wa marehemu, alimfundisha UDSM, na anadai alikuwa mwalimu aliyonekana kwa wengu kuwa 'very fair'. Alibahatika kukutana naye Dodoma mwezi Aprili na walikaa Dodoma Hotel pamoja na Dr. Mwakyembe.
Wakiwa katika maongezi, Dr. Mwakyembe aliwambia kuwa maisha yake mwenyewe (Mwakyembe) yapo hatarini kwani kuna assassin alikuwa amelipwa kuhakikisha anamtoa roho lakini huyo mtu baadae aliingiwa na 'roho ya huruma' akaenda kwake Mwakyembe na ku-confess. Aliwambia kuwa alilazimika kusambaza taarifa hizo panapohusika na kuwambia kuwa chochote kitakachotokea basi wasishtuke kwani kuna mpango dhidi yake umepangwa. Prof. Jwan (marehemu) alimpinga na kusema "Death is always a surprise, as long as none can anticipate death".
Heshima za mwisho zinaendelea, kuna watu wengi sana
Mkuu De Novo, mwenyewe nimejaribu kufikiria na kuanza kuamini kuwa Tanzania is no longer safe!Invisible na Pasco... yaani nimesoma hii post nikasikia kama mwili umepigwa shoti ya umeme!!!! Roho imeniuma kama nilimjua marehemu...
Gone are the days when we trust one another