William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- leo ni siku ya mazishi ya muandishi maarufu wa muda mrefu sana nchini, bwana james mwakisyala aliyefariki juzi usiku hospitali ya muhimbili; mazishi yanafanyika leo saaa nane mchana, nyumbani kwake pugu, kajiungeni.
- binafsi nipo njiani kwenda kuhudhuria mazishi haya na nimesitisha mualiko wa makanisa leo ubungo kuhuduhuria mazishi haya ya mwanahabari niliyekuwa ninamfahamu kwa muda mrefu sana toka nikiwa mdogo, wana jf huko pugu na kisarawe karibuni sana tumsindikize mwanamapinduzi mwenzetu!!
- james alikuwa mwanamapinguzi halisi ukitizama maandishi yake utakubaliana na mimi, mungu amlaze mahali pema peponi!!
William.
- binafsi nipo njiani kwenda kuhudhuria mazishi haya na nimesitisha mualiko wa makanisa leo ubungo kuhuduhuria mazishi haya ya mwanahabari niliyekuwa ninamfahamu kwa muda mrefu sana toka nikiwa mdogo, wana jf huko pugu na kisarawe karibuni sana tumsindikize mwanamapinduzi mwenzetu!!
- james alikuwa mwanamapinguzi halisi ukitizama maandishi yake utakubaliana na mimi, mungu amlaze mahali pema peponi!!
William.