Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
- Thread starter
- #41
Josephine, unafikiri ni sababu za kiusalama au ni mbali sana kwa mkuu wa kaya kufika kwa usafiri wa magari? nauliza tu
Ifakara ni mbali,lakini pia barabara ni mbaya sana.
Maandalizi ya chakula yanaendelea,
wananchi watapata chakula kwanza hapahapa viwanjani.