Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apumzike kwa amani wapi? unadhani mungu ni mjinga? au unadhani uliumbwa ili uje kuwa zezeta hapa duniani? huyu kwake ni motoni tu.Marehemu Yohana upumzike kwa amani,Mungu mwenza wa yote.Amina.
Walimtesa na kutaka kumuuwa Dr Ulimboka wako wapi?Naamini jeshi la polisi litawakamata woote waliopanga na kutekeleza mauaji ya kinyama.
Mwingulu alikuwa bungeni mida ya saa saba ameweza kuwahi msiba?
Walimtesa na kutaka kumuuwa Dr Ulimboka wako wapi?
hapo ni karibu sana, ni mwendo wa kama saa moja tu
Mie nadhani Polisi wetu wamerogwa kabisa.Makamanda wa CDM ndio kila siku watetezi wao katika maslahi yao,makazi na maisha bora ya askari.Lakini waagizwa waruhusu watetezi wao wapigwe mawe na wao wanaitika sawa afande.Kama sio kulogwa basi kuna kasoro kubwa akilini.Polisi kazi yao ni kuhusika kuzorotisha upinzani! Mawe yanarushwa wanaangalia tu!
Hii misiba ya kujitakia, huruma zangu kwa familia yake tu.
Kwani waombolezaji wamebeba vitambulisho mpaka wewe ujue kuwa jamaa wa upande wa pili hawapo? au ndio ushetani na ufitini wako ndio unaokusumbua kuja na lugha za kijinga hapa jamvini?Waombolezaji wanasema waambie jamaa wa upande wa pili waje kuzika. Hawapo hapa hata mmoja
Wewe inaonyesha ni mtu wa ndani wa mipango tokea mwanzo hadi mwisho wa matukio....MWAMBIE Mwigulu aache siasa za kitoto, ona sasa ana damu kila kona ya mwili wake. THIS IS UNACCEPTABLE!
Kama polisi wataendelea kutumika kuhujumu CDM tutashuhudia vifo vingi 2015
Walimtesa na kutaka kumuuwa Dr Ulimboka wako wapi?
Naamini jeshi la polisi litawakamata woote waliopanga na kutekeleza mauaji ya kinyama.