Mazishi ya mama mkwe

Kamaka

JF-Expert Member
Jun 7, 2010
563
33
Jamaa alikuwa na mkewe wakiaga mwili wa marehemu mkwe wake ,mwanaume akashindwa kujizuia akalia,mwanamke kuona hivyo akampiga kiibao huku akamwambia mumewe unalia nini na ulikuwa humpendi mama yangu? Jamaa akajibu najua,najua, ila nimeona kama amejitikisa!!!
 
Back
Top Bottom