Kamaka
JF-Expert Member
- Jun 7, 2010
- 563
- 33
Jamaa alikuwa na mkewe wakiaga mwili wa marehemu mkwe wake ,mwanaume akashindwa kujizuia akalia,mwanamke kuona hivyo akampiga kiibao huku akamwambia mumewe unalia nini na ulikuwa humpendi mama yangu? Jamaa akajibu najua,najua, ila nimeona kama amejitikisa!!!