kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
Mbali na misiba hata kwenye harusi muhimu waweka hazina wawe ndugu aliyependekezwa na wanandugu. Nakumbuka yaliyonitokea kwenye kamati ya harusi ya kaka baada ya kubaki salio la 1000000/= mwenyekiti na katibu wakataka 400000 nikawamgomea then baada ya harusi wakataka kutumia hizo hela kuvunja kamati nikagoma. Baada ya fungate nikamkabidhi kaka akazitumia kununulia mabati na kumalizia nyumba yake ijapokuwa walinichukia lkn baadae walieleweshwa