Mazishi ya kadinali ruganbwa katika picha

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
7,903
1,053
IMGP0481.JPG
barabara ya kashozi mjini bukoba ikiwa imefurika waumini waliokuja kuangalia nini kinaendelea

View attachment 67389
rto kagera akiwa kazini kupanga magari katika maandamano toka kashozi kwenda bukoba mjini.

IMGP0486.JPG
gari iliyobeba geneza lililo na mwili wa marehemu rugambwa


IMGP0487.JPG


msururu wa magari na watu wakielekea kanisani kwenye maziko

IMGP0494.JPG
 

Attachments

  • IMGP0499.JPG
    IMGP0499.JPG
    718.9 KB · Views: 83
  • IMGP0497.JPG
    IMGP0497.JPG
    858.3 KB · Views: 84
  • IMGP0496.JPG
    IMGP0496.JPG
    757.2 KB · Views: 87
  • IMGP0495.JPG
    IMGP0495.JPG
    830.5 KB · Views: 117
Waache wafu wazike wafu wao. Haya ni mazishi au maziko? Laiti Vasco da Gama asingeyashiti maziko haya! Watu wanaojiita wa Mungu wanateketeza sadaka kwenye ushirikina na upuuzi. Hivi hiyo pesa inayofujwa hapa ingesaidia watanzania wangapi?
 
Waache wafu wazike wafu wao. Haya ni mazishi au maziko? Laiti Vasco da Gama asingeyashiti maziko haya! Watu wanaojiita wa Mungu wanateketeza sadaka kwenye ushirikina na upuuzi. Hivi hiyo pesa inayofujwa hapa ingesaidia watanzania wangapi?

Mkuu Father of All, wao wanaliita tukio la kihistoria wewe unaita ushirikina ok. Ila fuatilia utaratibu wa maziko ya maaskofu na makardinali au watu wakubwa katika uanzishwaji na usimikwaji wa kanisa katoliki utajua hii ina maana gani na sio kwa wakatoliki tu bali taifa zima la Tanzania.

Wakati mtume Petro ambaye ni mhayudi alizikwa mahali lilipojengwa kanisa "Basilica" la Mt. Petro mnjini Vatican waitaliano wanatengeneza mamilion kutoknana na watilli wsio pungua milion 7 kwa mwaka wanaotembelea vatican tu.

lakini pia nchi za Ufaransa na Hispania zina makanisa au shrines za kikatoliki zeneye maudhui sawa na hilo wakatoliki bukoba wanajarinu kufanya nchi huwa zinapata watalii si chini ya 1.5million kwa mwaka faida nani sijui. Hata Mexico nao wnalokanisa la kihistoria katika imani yao ya kikatoliki kwa wengi wao hawa hupata hadi watalii million 4 kwa mwaka pamoja na faida hizo lakini pia inawasaidia kuunganika na kuendeleza nchi zao.

Kardinali Rugambwa, bila shaka ni mtu mashuhuri sana na sio Bukoba au Tanzania tu Afrika na Duniani kote pengine, wakatoliki kile wanachoamini ni mhimu katika utamaduni wa imani yao na pengine kwa gharama kubwa walizotoa kwa moyo mkunjufu sababu kubwa ni kutunza Heshima na Historia ya Mtu maarufu.

St. Peter1.jpg St. Peter2.jpg

Picha ni mionekano tofauti ya Mahali yalipo mabaki ya Mt. Petro Mtume ndani ya Basilica la Mt. Petro Vatican Italy.
 
Mkuu Father of All, wao wanaliita tukio la kihistoria wewe unaita ushirikina ok. Ila fuatilia utaratibu wa maziko ya maaskofu na makardinali au watu wakubwa katika uanzishwaji na usimikwaji wa kanisa katoliki utajua hii ina maana gani na sio kwa wakatoliki tu bali taifa zima la Tanzania.

Wakati mtume Petro ambaye ni mhayudi alizikwa mahali lilipojengwa kanisa "Basilica" la Mt. Petro mnjini Vatican waitaliano wanatengeneza mamilion kutoknana na watilli wsio pungua milion 7 kwa mwaka wanaotembelea vatican tu.

lakini pia nchi za Ufaransa na Hispania zina makanisa au shrines za kikatoliki zeneye maudhui sawa na hilo wakatoliki bukoba wanajarinu kufanya nchi huwa zinapata watalii si chini ya 1.5million kwa mwaka faida nani sijui. Hata Mexico nao wnalokanisa la kihistoria katika imani yao ya kikatoliki kwa wengi wao hawa hupata hadi watalii million 4 kwa mwaka pamoja na faida hizo lakini pia inawasaidia kuunganika na kuendeleza nchi zao.

Kardinali Rugambwa, bila shaka ni mtu mashuhuri sana na sio Bukoba au Tanzania tu Afrika na Duniani kote pengine, wakatoliki kile wanachoamini ni mhimu katika utamaduni wa imani yao na pengine kwa gharama kubwa walizotoa kwa moyo mkunjufu sababu kubwa ni kutunza Heshima na Historia ya Mtu maarufu.

View attachment 67449 View attachment 67450

Picha ni mionekano tofauti ya Mahali yalipo mabaki ya Mt. Petro Mtume ndani ya Basilica la Mt. Petro Vatican Italy.
Asante kaka ulikuwa huna haja ya kumuelewesha huyo pimbi wa akili,hapa amebehave kama bata kaharisha kaondoka zake
 
Mbona kuna wengi wamevaa njano na kijani? Ni rangi za kikatoliki? za CCM? au za Yanga? Sielewi
 
Tedo kuna kipindi pilipili usizokula zinakuwasha hasa zinapowawasha watu wajinga wanaoibiwa na watu wanaojifanya watu wa Mungu. Kama nawe ni mmojawapo mie sitaomba radhi kukupigania na kukuelimisha. Mimi ni baba yenu nyote na kuwanasihi ni wajibu wangu.
 
Waache wafu wazike wafu wao. Haya ni mazishi au maziko? Laiti Vasco da Gama asingeyashiti maziko haya! Watu wanaojiita wa Mungu wanateketeza sadaka kwenye ushirikina na upuuzi. Hivi hiyo pesa inayofujwa hapa ingesaidia watanzania wangapi?

hiyo pesa isaidie watz kwani umesikia ni kodi yao hapo imetumika
 
Remote hujui kuwa sadaka ni kodi? Acheni kutetea upuuzi. Angalieni maisha ya wanaotozwa hiyo sadaka mlinganishe na kuiunguza kwenye maziko. Acheni uroho upogo na roho mbaya. Mbona Yesu hakuzikwa kifalme hivyo kama hiyo ni deal?
 
Watu mnaleta dhiaka kwenye mambo serious kama haya
mnaleta siasa kwenye dini haya ni mambo ya imani acheni kashfa
 
Waache wafu wazike wafu wao. Haya ni mazishi au maziko? Laiti Vasco da Gama asingeyashiti maziko haya! Watu wanaojiita wa Mungu wanateketeza sadaka kwenye ushirikina na upuuzi. Hivi hiyo pesa inayofujwa hapa ingesaidia watanzania wangapi?

kama kusaidia wamesaidia vya kutosha. Pale Kagera askofu Rugambwa ameweza kujenga shule kadhaa, hadi sasa kuna shule za primary English medium 6, vyuo vya ufundi 3, vyuo vya uuguzi 3, chuo kikuu, hospital ya rufaa ya Rubya kama sikosei na taasisi kibao. Sasa watanzania wasidiwe katika nini ambacho kimebaki. Coz kusaidia mtu muwezeshe apate elimu ili kesho asije kuomba tena, na ndiyo hayo ambayo kanisa limekuwa likfanya tangu enzi mpaka sasa. Acheni tufanye mazishi ya heshima kuuenzi mchango wake kwa Taifa. Mbona Jk anatembea masafari kibao yasiyo ya msingi na still husemi aache asaidie masikini. Sheet
 
Mupirocin hiyo sheet una maana ya ukurasa au shit ya kinyesi. Nani kakwambia kuwa alichangia ili azikwe kifalme tofauti na mfano alioweka Yesu Kristo? Yesu aliyeomba na kutetea maskini angekuwapo leo angesimama nami na siyo wewe unayetete kujilisha pepo.
 
kama kusaidia wamesaidia vya kutosha. Pale Kagera askofu Rugambwa ameweza kujenga shule kadhaa, hadi sasa kuna shule za primary English medium 6, vyuo vya ufundi 3, vyuo vya uuguzi 3, chuo kikuu, hospital ya rufaa ya Rubya kama sikosei na taasisi kibao. Sasa watanzania wasidiwe katika nini ambacho kimebaki. Coz kusaidia mtu muwezeshe apate elimu ili kesho asije kuomba tena, na ndiyo hayo ambayo kanisa limekuwa likfanya tangu enzi mpaka sasa. Acheni tufanye mazishi ya heshima kuuenzi mchango wake kwa Taifa. Mbona Jk anatembea masafari kibao yasiyo ya msingi na still husemi aache asaidie masikini. Sheet

hao wanaopinga ni wale wanaotaka kufuta historia iliyotukuka ya Rugambwa, kila alipopita kaacha jina kubwa wakati wao na viongozi wao kila kijiji wanachopita wanaacha watoto wasiopata msaada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom