huu tunauita umaskini wa roho.NA NI BORA UMASKINI WA AKILI UNATIBIKAmnatuboa tu nyie.. Toka jmosi ni kumsifia tu huyo bilionea wenu.. Mwanaume mzima anashinda mtandaoni kazi kumwagia mtu misifa tu!!! Sambeke ndo mtoa uzima???? Kama kuna aliyenuna akajiue na yeye bas..
Namshangaa sana mkuusasas mtu anayeweza kopesha bil 5 utamwitaje kama sio bilionea benk zenyewe hupati hicho kiasi huyu ni bilionea kabisaaaa
Anamiliki kampuni ya utalii ya Ahsante tours
mnatuboa tu nyie.. toka jmosi ni kumsifia tu huyo bilionea wenu.. mwanaume mzima anashinda mtandaoni kazi kumwagia mtu misifa tu!!! sambeke ndo mtoa uzima???? kama kuna aliyenuna akajiue na yeye bas..
umepewa kazi ya kuchunga magari ww unafanya kazi ya upambe hapa.. haya bosi wako kafa.. jipange upya tena. unakaa kumsifia mwanaume mwenzio kama bwabwa..
Mwili unawasili nyumbani sasa unapokelewa na marubani wenzake Wanajeshi pia wapo
cuthbet swai sio cuthbet mbowe huyo hana hata miaKwa kweli mimi najua alikuwa ni mmiliki mwenza wa ASANTE TOURS yeye pamoja na Cuthbet Mbowe .pia alikuwa ndio mkopeshaji mkubwa wa hela ya riba hata kama ni bilion tano unapata. Vile vile alikuwa na mashamba makubwa ya ngano kule west kilmanjaro ambako ndiko alitokea kabla hajapata ajali.
weka picha basiUmati ni mkubwa sana
Chezea utajiri wa punje wewe.Tupia pc nasikia lazima uvae suti nyeusi?
Waupate wapi zaidi ya kusifia wazungusha raundi kuwa mabilionea tu.Watu wa Moshi mjini na maujanja yenu hamna hata picha za kuweka jamani
Mkuu Magesi endelea kutupia humu yanayotokea huko.Wengi tuko mbali na eneo la tukio,weka picha.Bdo mwili upo kanisani huku nyumbani kuna skrini kubwa zimefungwa zinaonyesha matukio yote tokea aanze kurusha ndege