Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
dunia inabadilikaa. sasa mazishi yanaanza kuchukua taswira ya burudani!
kama wale wanaoshona sare na maua kede kede na lile gari la vioo !
dunia inabadilikaa. sasa mazishi yanaanza kuchukua taswira ya burudani!
yale meusi ka mkaa ndo yenyewe ati!Wala hajapendeza. ma....ko yenyewe meusiiii!
kwa wengine wote ningeweza kutojali lakini huyo mwenye kichupi duh! Hawezi kupita bila kupingwa.
Hakuna ushahidi kama hapo ni msibani! Huenda wamekusanyinka kumsuta mtu.Eti hizi ndio nguo za kuvaa msibani, duh!
Aisee, kwani msibani huwaga kuna ushahidi gani?Hakuna ushahidi kama hapo ni msibani! Huenda wamekusanyinka kumsuta mtu.
hii kali, siamini kama haya yalikuwa ni mazishi heeh!utafikiri wako casino
dunia inabadilikaa. sasa mazishi yanaanza kuchukua taswira ya burudani!
Kudaaaadaadekii!Haya mazishi yanamfaa sana Lisinde na nchemba lol........
ni wapi huko na mm nikashiriki mazishi ya namna hii!
Kaburi, Jeneza, Makaburi mengine, msalaba, mataji, padri, mchungaji, waombolezaji, maiti n.k. Sijaona hata kimoja.Aisee, kwani msibani huwaga kuna ushahidi gani?
kweli kabisa.Hakuna ushahidi kama hapo ni msibani! Huenda wamekusanyinka kumsuta mtu.
Hii ni lugha ya tomaso (yule wa kwenye baibo)!Kaburi, Jeneza, Makaburi mengine, msalaba, mataji, padri, mchungaji, waombolezaji, maiti n.k. Sijaona hata kimoja.
mwenzio akinyolewa...
Wala hajapendeza. ma....ko yenyewe meusiiii!