Hali ya kusikitisha ni kwamba mauaji yaliyotokea yanaonekana kama Serikali iliua sisimizi.Wakati wakazi wa Arusha wameomboleza leo,Viongezi wa juu wa Serikali wako Zanzibar wanakula kuku.Hii ni dharau kubwa na serikali imeonesha hata ikiua idadi yeyote ya raiya hamna anayejali.Waliuawa wafanyabiashara wa Morogoro ikaundwa tume.Haya ya arusha wmegfanya kama wanyama.Inakuaje nyumbani kwako kuna msiba halafu unafanya sherehe?Ni dharau kubwa kwa wakazi wa Arusha na watanzania kwa ujumla.Nimesikitika sana