Yaani kuna watu kumbaaf kabisa, hii thread aina mantiki yoyote apart of provoking a group of people. Napita admin ondoa hii...
Baadhi ya watu hawapendi au wanaumia kusikia sauti ya udongo au mabonge ya udongo yanapoangukia jeneza. Huenda hayo majani ni kupunguza kishindo cha udongo juu ya jeneza. Pia inawezekana hakuna jeneza hapo.[/QUOTE]jeneza kufukiwa na majari
Hayo majani ya nn kaburini?
kuzika kwa zege na nondo pamoja na kuweka tiles huo sio uchafuzi wa mazingira ?!Kuharibu mazingira maana udongo upo wa kutosha.