Wakati taifa linaadhimisha siku ya Mazingira Duniani hii ndio hali halisi ya jiji letu la Dar, japo wakubwa wako Mwanza kula kuku kwa tiketi ya Mazingira hayahaya!
Wakati taifa linaadhimisha siku ya Mazingira Duniani hii ndio hali halisi ya jiji letu la Dar, japo wakubwa wako Mwanza kula kuku kwa tiketi ya Mazingira hayahaya!
Tatizo sio wakubwa kama unavyojiaminisha tatizo ni wananchi wa Dar es salaam ni WACHAFU na hawana tabia ya kufanya usafi mnachowaza ni kutafuta fedha na wengine wanawaza kucheza ngoma tu, Mbona Moshi hakuna vitu kama hivyo ulivyovionyesha hapo jitafakari kwa makini tatizo ni nyinyi mlioko huko ni WACHAFU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.