Mazingaombwe matokeo Darasa la Saba

OMTIMBA

Member
Jun 27, 2015
72
21
Hi! watanzania wa miaka 54 ya Uhuru.Juzi BARAZA la mitihani lilitangaza matokeo ya Drs la VII tena kwa Mbwembwe sn, na kutanabaish kuw ufaul umeongezek. Bnafs baad ya kuptia baadh ya matokeo hayo nilikutana na vitu ambavyo bnafc nilihic km ni Mazingaombwe!

zingaombwe la kwanza; ni pale nilipokutana na utata huu,Mwanafunzi"X" matokeo yake yalisomeka hv...HISB-C,KISW-C,ENG-C,MAARIF-D,SIENC-D.GRADE=C. Mwanafnz mwngn "Y" Nae alipata HISB-C,KISW-C,ENG-C,MAARIF-D,SIENC-D.GRADE=D,Sasa nkajiuliz, kuna tofaut gan kat ya mwanfnz X na Y Wakat wamepat saw,lakn mmoj kaandikiwa GRADE-D, Afu mwingine GRADE-D?

Zingaombwe la pili ambalo ckulielew na had sas nimeshindwa kumjibu BIBI yangu wa Kaburabura huko Musoma vijijin ambae anatak nimsaidie wanavyogawanya na kupata wastan wa madaraja, mfano hao wajukuu wake hapo juu, Kila ck anapga cm najifany cpokei kwa ubze anatak nimfafanulie,

Ebu watanzania wenzang naomb mweny majb na uelew dhidi ya Sintofaham hapo juu anisaidie.......
 
Grade ni wastani,inategemea kapata C na D zenye maksi ngapi? Kama ni C inayokaribia B na D inayokaribia C wastani lazima uwe C ukitafuta wastani wa C,C,D,D
 
wanafunzi x na y wanaweza kupata madaraja sawa katika masomo yao lakini wakawa na wastani tofauti na hivyo kufanya wao kupata grade tofauti,kwa mfano mwanafunzi x amepata 50% ya kingereza na mwanafunzi y akapata 42% ya somo hilo hilo,wote wapo kwenye daraja moja la C,lakini wana alama tofauti na hivyo watatofautiana kwenye GRADE zao,mwanafunzi x na y wanaweza kuwa na madaraja sawa katika masomo yao lakini mwanafunzi x akawa na alama nyingi kuliko mwanafunzi y,thus why akapata daraja C
 
wanafunzi x na y wanaweza kupata madaraja sawa katika masomo yao lakini wakawa na wastani tofauti na hivyo kufanya wao kupata grade tofauti,kwa mfano mwanafunzi x amepata 50% ya kingereza na mwanafunzi y akapata 42% ya somo hilo hilo,wote wapo kwenye daraja moja la C,lakini wana alama tofauti na hivyo watatofautiana kwenye GRADE zao,mwanafunzi x na y wanaweza kuwa na madaraja sawa katika masomo yao lakini mwanafunzi x akawa na alama nyingi kuliko mwanafunzi y,thus why akapata daraja C

Kwa maana hiyo siku hizi kuna "c plain" na "c plus" na kuna "d plain" na "d plus"?
 
Kamuulize Nape, naskia nfy waziri wa elimu mtarajiwa.

watz tusiwe wavivu wa kufikir jamani...tunaweza kuwa ktk daraja moja lkn alama tofaut mf mwny {x}40 na{ y} 49 wote wapo ktk daraja moja...izo zote ni C wakat huohuo mwny (x) anaweza pata 35 na mwny (y) anaweza pata 39 zote ni D..aya sasa tafuta average uone huo utofaut ambao ni dhahir kabisa....ivo mnaweza lingana grade kila somo ila mkatofautiana total average............NIMEMALIZA
 
Grade ni wastani,inategemea kapata C na D zenye maksi ngapi? Kama ni C inayokaribia B na D inayokaribia C wastani lazima uwe C ukitafuta wastani wa C,C,D,D

Usdanganye Watu C Ni Ile Ile Ata Kama Upate Umekarbia B Itahesabiw Sawa Na Ambae Imekarbia D...Thats Why Hawa2mii Maks Wana2mia Grades.
 
nahs umemjib vzur

Mimi hayo mazingaombwe siyaoni hapa. Avarage Grade inapatikana kwa kujumlisha alama alizopata mwanafunzi ktk masomo yote na kugawanywa kwa idadi ya masomo.Mf. tufanye C inaanzia 40 mpaka 50, mwanafunzi X anaweza kuwa na C ya alama 40 na mwingine Y C ya 50. Hivyo hivyo X anaweza kuwa na D ya 30 halafu Y 39. Tukitaka kujua Av. Grade tunajumlisha alama za masomo yote gawa kwa idadi ya masomo. Hivyo basi tofauti ya alama ktk grade moja inaweza kupelekea mmoja akawa grade C na mwingine D kutegemeana kwenye masomo yote wametofautiana.
 
Mimi hayo mazingaombwe siyaoni hapa. Avarage Grade inapatikana kwa kujumlisha alama alizopata mwanafunzi ktk masomo yote na kugawanywa kwa idadi ya masomo.Mf. tufanye C inaanzia 40 mpaka 50, mwanafunzi X anaweza kuwa na C ya alama 40 na mwingine Y C ya 50. Hivyo hivyo X anaweza kuwa na D ya 30 halafu Y 39. Tukitaka kujua Av. Grade tunajumlisha alama za masomo yote gawa kwa idadi ya masomo. Hivyo basi tofauti ya alama ktk grade moja inaweza kupelekea mmoja akawa grade C na mwingine D kutegemeana kwenye masomo yote wametofautiana.
Sasa kam ndo hvo kwa nini wasiweke2 alama??? Kumbe hat C zinztofautian, Hapa kweli KAZI TU

 
Tuchukulie mfano huu.... C ianzie 40-49 afu D ianzie 30-39
Chukua maksi 49+48+45+39+38 gawia 5 unapata 43.8 ambayo ni C kwa wastan. afu chukua 42+43+40+33+31 gawia 5 unapata 37.8 ambayo ni D kwa wastani
 
mimi nijuavyo, ukishaamua ku2mia Grade ctegemei kuwa utaanza ku categorize kuwa hii ni C Kubwa, au ni C ndogo,
nafkiri weng hum ha2jui tafsiri ya neno GRADE
 
Tuchukulie mfano huu.... C ianzie 40-49 afu D ianzie 30-39
Chukua maksi 49+48+45+39+38 gawia 5 unapata 43.8 ambayo ni C kwa wastan. afu chukua 42+43+40+33+31 gawia 5 unapata 37.8 ambayo ni D kwa wastani
4that logic.... huon kuw ingekuwa bora zaid km wangewek kwa mfum wa wastan, na cyo grade?? mimi nijuavyo, ukishaamua ku2mia Grade ctegemei kuwa utaanza ku categorize kuwa hii ni C Kubwa, au ni C ndogo,
nafkiri weng hum ha2jui tafsiri ya neno GRADE
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom