ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
Wakuu,
Juzi mzee Mapesa alinichefua kiasi nikasema huyu mzee amekosa mwelekeo?, badala ya kujibu hoja ya msingi ya mbunge kijana Lissu yeye anakurupuka na kutoa lugha za matusi katika chombo kikubwa kabisa cha kutunga sheria nchini , hivi sheria zinatungwa kwa matusi? huyu mzee tumweke kundi lipi?
Mhe. Lissu alikuwa analieza bunge athari za kupitisha kanuni hiyo mpya huku alitoa mifano ili wabunge waelewe, lakini babu yangu akakurupuka na kurusha kombora sasa sijui ni kipi hasa kilichomuuma?
Hoja hujibiwa kwa hoja na wazee ndiyo mifano ya kuingwa na vijana, sasa mzee wa miaka 70 ukianza kutoa mitusi bungeni je kina Mnyika, Halima na wengineo vijana wajifunze nini? je hukuwa na maneno mengine ya kutumia badala ya hayo uliyoona yanafaa?
Kwa lugha yako chafu hukuwa mnamdhalilsha Lissu wala CHADEMA bali wewe mwenyewe na chama chako chenye mbunge mmoja. Binafsi umenikera sana tena mno nyie ndiyo wazee wetu tunawategemea kuliongoza taifa letu matokeo yake ndiyo mnakuwa msatari wa mbele kujikomba komba na omba omba visenti kusaidiwa saiwa tu na serikali, je mkipewa hizo kamati mnazozililia mtaziongoza inavyotakiwa? mimi nafikiri mtakuwa mnarudisha fadhila kwa serikali kwa kuficha maovu yapite.
ngoja ninywe maji nipunguze hasira kwanza... nakuja.
Juzi mzee Mapesa alinichefua kiasi nikasema huyu mzee amekosa mwelekeo?, badala ya kujibu hoja ya msingi ya mbunge kijana Lissu yeye anakurupuka na kutoa lugha za matusi katika chombo kikubwa kabisa cha kutunga sheria nchini , hivi sheria zinatungwa kwa matusi? huyu mzee tumweke kundi lipi?
Mhe. Lissu alikuwa analieza bunge athari za kupitisha kanuni hiyo mpya huku alitoa mifano ili wabunge waelewe, lakini babu yangu akakurupuka na kurusha kombora sasa sijui ni kipi hasa kilichomuuma?
Hoja hujibiwa kwa hoja na wazee ndiyo mifano ya kuingwa na vijana, sasa mzee wa miaka 70 ukianza kutoa mitusi bungeni je kina Mnyika, Halima na wengineo vijana wajifunze nini? je hukuwa na maneno mengine ya kutumia badala ya hayo uliyoona yanafaa?
Kwa lugha yako chafu hukuwa mnamdhalilsha Lissu wala CHADEMA bali wewe mwenyewe na chama chako chenye mbunge mmoja. Binafsi umenikera sana tena mno nyie ndiyo wazee wetu tunawategemea kuliongoza taifa letu matokeo yake ndiyo mnakuwa msatari wa mbele kujikomba komba na omba omba visenti kusaidiwa saiwa tu na serikali, je mkipewa hizo kamati mnazozililia mtaziongoza inavyotakiwa? mimi nafikiri mtakuwa mnarudisha fadhila kwa serikali kwa kuficha maovu yapite.
ngoja ninywe maji nipunguze hasira kwanza... nakuja.