Duu kitu cha ukweli hebu weka gharama zake kwanzaMwenye uelewa na gari hii ningependa anipe maelezo kidgo coz gari hii ni nzuri sana japo Tanzania ni machache sana ukizingatia lina bei nafuu kwa kuagiza..
inatumia ROTAR engine ambazo sijajua upatikanaji wake wa spare...