Mayfair plaza kuna short time kumbe?

RealTz77

JF-Expert Member
May 18, 2009
738
40
Katika ile hali ya kutapatapa kwa Wahindi wa jengo la Myfair Plaza pale Mikocheni hali sasa yaelekea kuwa tete au mbaya. Kwa wale wanapafahamu wanajua ya kuwa wapangaji/tenants wengi wakubwa wamehama na wataendelea kupakimbia, hawa ni shoprite, Norwegian People Aid, Tigo, Furniture...., now zain, etc. But kutokana na heading above nimeshangaa kidogo kuwa pale pamekuwa mahali pa kwenda na demu/dume wako na kulipia short time au kulala (u choose) kwa bei tofauti sawa tu na zile guest zetu za uswazi. so utakuta mlango huu office mlango unaofuata watu wanapigana miti fasta na kutoka, sasa bongo pamekuwa tambarare,bado PPF tower nao wataanza,ujue price za kurent are too high in Dar, acha landlords wapate msukosuko watashusha tu bei, wapo very high unecessarly!
 
Hata mimi naliona hilo,kuna jamaa nyuma ya MAYFAIR anaporomosha appartments zaidi ya 100 na zinazokaliwa mpaka sasa ni hazizidi 20... yetu macho...
 
Real Estate business ilichangia sana kwenye mdororo wa uchumi. Makampuni yalichukua mikopo na mengi yalisindwa kurejesha kwasababu zinazofanana na hizo za myfair plaza..
Hii ni industry ambayo inataka investors wawe makini kidogo. Naona kama wahindi wengi wanalazimisha walipwe fedha nyingi wakati ukweli ni kwamba hali halisi ya maisha hailingani na kodi wanazotoza kwenye apartment na office blocks.
 
Back
Top Bottom