Mayalla tupo pamoja

Hiyo comment yangu umeipita kama hujaiona
Mkuu Jana wakati unamuulizia Kailima swali kuhusu vituo ambavyo vilivamiwa wakati wanahesabau kura naona uliegemea upande mmoja kwa sababu hata ccm nao walikuwa wanahesabau lakini wao hawakuvamiwa, halafu wewe ukatoa conclusion ya moja kwa moja kwamba eti wale wanaosema wana Rais wao wa mioyo waache kwa sababu uchaguzi ulikuwa huru na haki..... Kwa kweli hapa hukutenda haki
Mkuu Papushi, kwanza unisamehe kwa kutoliona bandiko lako, kama ulilisikia vizuri swali langu niliuliza kama uchaguzi ulikuwa huru, wa haki, na very transparent, kwa nini walivamia tallying center ya UKAWA na ya kituo cha haki za binaadamu?!, nikauliza kama there were nothing to hide, kanini wazuie independent tallying?!. Natumaini usikia jibu kuwa kufanya tallying sio kosa, kosa ni kutangaza au kusambaza hayo matokeo ya hizo tallying, na kusema waliokamatwa kosa lao sio tallying bali kusambaza hizo tallying.

Hili la rais wa mioyoni mwa watu nilisema rukhsa na kutawala nchi za ndani ya mioyo, lakini rais wa nchi ni yule aliyetangazwa na NEC!, kuna ubaya gani kwa kauli hiyo?!, jee unamjua rais wa ndani ya moyo wangu?!.

Nilisisitiza tuu kuwa asiyekubali kushinda sii mshindani!. Sisi kama Watanzania, lazima tufike mahali tuambiane ukweli, hata kama ukweli huo ni mchungu kiasi gani, ndio ukweli. Ukiambiwa fulani ndio alishinda ila akachakachuliwa, usiishie kuamini tuu kirahisi rahisi bali ujiridhishe alishindaje na huku matokeo yamebandikwa kwenye kila kituo?!.

Paskali
 
Mkuu Papushi, kwanza unisamehe kwa kutoliona bandiko lako, kama ulilisikia vizuri swali langu niliuliza kama uchaguzi ulikuwa huru, wa haki, na very transparent, kwa nini walivamia tallying center ya UKAWA na ya kituo cha haki za binaadamu?!, nikauliza kama there were nothing to hide, kanini wazuie independent tallying?!. Natumaini usikia jibu kuwa kufanya tallying sio kosa, kosa ni kutangaza au kusambaza hayo matokeo ya hizo tallying, na kusema waliokamatwa kosa lao sio tallying bali kusambaza hizo tallying.

Hili la rais wa mioyoni mwa watu nilisema rukhsa na kutawala nchi za ndani ya mioyo, lakini rais wa nchi ni yule aliyetangazwa na NEC!, kuna ubaya gani kwa kauli hiyo?!, jee unamjua rais wa ndani ya moyo wangu?!.

Nilisisitiza tuu kuwa asiyekubali kushinda sii mshindani!. Sisi kama Watanzania, lazima tufike mahali tuambiane ukweli, hata kama ukweli huo ni mchungu kiasi gani, ndio ukweli. Ukiambiwa fulani ndio alishinda ila akachakachuliwa, usiishie kuamini tuu kirahisi rahisi bali ujiridhishe alishindaje na huku matokeo yamebandikwa kwenye kila kituo?!.

Paskali
Kituo cha haki za binadamu walikuwa wanasambaza matokeo?Je,kwanini CCM hawakuvamiwa pale mlimani city wakati January Makamba alitangaza idadi ya wabunge wao wakati hata majimbo mengine yakiwa bado hayajatangaza matokeo?
 
Kituo cha haki za binadamu walikuwa wanasambaza matokeo?Je,kwanini CCM hawakuvamiwa pale mlimani city wakati January Makamba alitangaza idadi ya wabunge wao wakati hata majimbo mengine yakiwa bado hayajatangaza matokeo?
nitayauliza maswali haya katika kipindi kitakachofuata.

Paskali
 
Mkuu Papushi, kwanza unisamehe kwa kutoliona bandiko lako, kama ulilisikia vizuri swali langu niliuliza kama uchaguzi ulikuwa huru, wa haki, na very transparent, kwa nini walivamia tallying center ya UKAWA na ya kituo cha haki za binaadamu?!, nikauliza kama there were nothing to hide, kanini wazuie independent tallying?!. Natumaini usikia jibu kuwa kufanya tallying sio kosa, kosa ni kutangaza au kusambaza hayo matokeo ya hizo tallying, na kusema waliokamatwa kosa lao sio tallying bali kusambaza hizo tallying.

Hili la rais wa mioyoni mwa watu nilisema rukhsa na kutawala nchi za ndani ya mioyo, lakini rais wa nchi ni yule aliyetangazwa na NEC!, kuna ubaya gani kwa kauli hiyo?!, jee unamjua rais wa ndani ya moyo wangu?!.

Nilisisitiza tuu kuwa asiyekubali kushinda sii mshindani!. Sisi kama Watanzania, lazima tufike mahali tuambiane ukweli, hata kama ukweli huo ni mchungu kiasi gani, ndio ukweli. Ukiambiwa fulani ndio alishinda ila akachakachuliwa, usiishie kuamini tuu kirahisi rahisi bali ujiridhishe alishindaje na huku matokeo yamebandikwa kwenye kila kituo?!.

Paskali
Nashukuru kwa majibu... Lakini naamini bado kulikuwa kuna maswali mengi ya kumuuliza, naomba kama ukipata nafasi ya kwenda kumuhoji, tunaomba na sisi tukupe maswali yetu.
Asante
 
Kituo cha haki za binadamu walikuwa wanasambaza matokeo?Je,kwanini CCM hawakuvamiwa pale mlimani city wakati January Makamba alitangaza idadi ya wabunge wao wakati hata majimbo mengine yakiwa bado hayajatangaza matokeo?

Hakufanya fujo, furugu wala kutoa maneno ya uchochezi. Kifupi hakua kavuta bangi.
 
Afrika bado tuna safari ndefu na sioni dalili za kufika mapema. Na ni chanzo cha migogoro isiyoisha ktk hizi nchi zetu.
USA,ktk uchaguzi mkuu kwa upande wa Urais, wakati Bush mtoto alipopambana na Algore wa Democratic. Algore alilalamika kutotendewa haki ktk hatua ya kuhesabu kura kwa njia ya computer. Ktk jimbo la California. Tume ya uchaguzi ilisikiliza na kuamua kuhe sabu kura kwa mikono. Bado Algore hakuridhika na akaenda mahakamani.
Pamoja na ukweli kuwa Bush alikuwa ameshinda ktk uchaguzi ule hadi mahakama ya juu ya marekani ilipotoa maamuzi kuthibitisha kuwa Bush alikuwa ameshinda. Ndipo tume ikamtangaza kama mshindi halali.
Nimeandika haya kuweka kumbu kumbu sawa.
Ktk Afrika, ukiondoa nchi chache, mshindani mkubwa atalalamika kuwa hatendewi haki, badala ya kusimamisha zoezi la kutangaza, badala yake tume inaendelea kutangaza na kusema tunatangaza matokeo kwa kadri tunavyoyapokea. Nilitegemea tume ingeelezea hayo mazingira
 
Mkuu Kaa la Moto, ni kweli tulitofautiana na Ansbert kwenye eneo hili, mimi nilisisitiza Kikwete apongezwe kwa mazuri yake na kulaumiwa kwa mabaya yake, nikasisitiza haiwezekani iwe ni kulaumu tuu, mwenzangu akadai hayo mazuri ni katika kutimiza wajibu wake!, hoja yangu mimi ni kuwa na shukrani, hata kama ni kutimiza wajibu wake, kama ametimiza vizuri anastahili pongezi.

Paskali

Hapo watu hawatakuelewa kaka, hauwezi kuniambia mtu katumikia taasis kwa kipindi chote hicho hakuwahi kufanya jema hata moja. Kama kila zuri analolifanya mtu ni kutimiza wajibu, kusingekua na kusifia mtu yeyote kwa chochote kwa sababu kila mtu akifanya mazuri, anatimiza wajibu wake. Naungana na wewe, kwa mazuri asifiwe na kwa mabaya alaumiwe.
 
nitayauliza maswali haya katika kipindi kitakachofuata.

Paskali

Hii mada itatonesha machungu yaliyokwisha kupona au yameanza kusahaulika. Kuna maswali mengine ukiuliza hao jamaa wenyewe hawana majibu japo hatashindwa kukujibu licha ya kujali majibu yao yanamadhara gani kwa wananchi.
 
Hapo watu hawatakuelewa kaka, hauwezi kuniambia mtu katumikia taasis kwa kipindi chote hicho hakuwahi kufanya jema hata moja. Kama kila zuri analolifanya mtu ni kutimiza wajibu, kusingekua na kusifia mtu yeyote kwa chochote kwa sababu kila mtu akifanya mazuri, anatimiza wajibu wake. Naungana na wewe, kwa mazuri asifiwe na kwa mabaya alaumiwe.
Mkuu The Monk , huwezi amini, hii posti yako, ndio naiona leo!. Naunga mkono hoja.
P
 
Amenifurahisha ngurumo alipoambiwa na mayalla kuwa rais ana mazuri ya kusifiwa majibu yake hana sababu ya kumsifia rais kwa kazi aliyoomba mwenyewe ila atamlaumu kwa kazi aliyiomba na kushindwa kuifanya.
Kuna watu wanaoenda kupinga kila kitu kwao. Kwao ni ule utamaduni wa kulalama tu na wanapata shida kumpongeza vilevile hawawezi kupongeza Rais hata kama kafanya mazuri.
Mkuu Kamundu , hii no hoja ya msingi sana!. Naunga mkono hoja , hapo nilikuwa studio ya Star TV, Mwanza nikiwa live na Ansbert Ngurumo.
P
 
Back
Top Bottom