Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Naangalia star tv tuongee asubuhi naona pascal mayalla amenikuna kweli kwa sababu kila siku nilikuwa sipati usingizi kwa sababu nilikuwa namfikiria rais kuwa ana mamlaka ya kuteua mbunge na kumpa uwaziri hapohapo?
Jibu nililopata kuwa wizara bado hazijapata mawaziri ila zimepata viongozi na katiba haiwatambui kwa hiyo kazi zote wanazofanya kwa niaba ya waziri ni batili.
Wiliam mgimwa haruhusiwi kufanya kazi yoyote kwa niaba ya waziri wa fedha wa tanzania.
Pascall big up simamia ukweli na taifa litakukumbuka baadae.
Jibu nililopata kuwa wizara bado hazijapata mawaziri ila zimepata viongozi na katiba haiwatambui kwa hiyo kazi zote wanazofanya kwa niaba ya waziri ni batili.
Wiliam mgimwa haruhusiwi kufanya kazi yoyote kwa niaba ya waziri wa fedha wa tanzania.
Pascall big up simamia ukweli na taifa litakukumbuka baadae.