Mebuttefly
Member
- Feb 5, 2014
- 90
- 51
Mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana kwa wingi.Trei moja yenye mayai 30 tunauza shilingi za kitanzania elfu 15 tu.Agiza na uletewe popote ulipo ndani ya Dar es Salaam. 0788-407407
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana kwa wingi.Trei moja yenye mayai 30 tunauza shilingi za kitanzania elfu 15 tu.Agiza na uletewe popote ulipo ndani ya Dar es Salaam. 0788-407407
Ndio yamerutubishwa na yanafaa kutotoleshaYamerutubishwa?
Unaweza supply tray ngapi za mayai kwa week moja?Ndio yamerutubishwa na yanafaa kutotolesha
Mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana kwa wingi.Trei moja yenye mayai 30 tunauza shilingi za kitanzania elfu 15 tu.Agiza na uletewe popote ulipo ndani ya Dar es Salaam. 0788-407407
weka namba yako tukuleteeNipo kimara nahitaji trei tatu
Sahii kabisaNimsaidie kujibu.
Yai lolote huhitaji joto la chini ya nyuzi 22 na zaidi ya nyuzi joto 16,Kulitunza,ambapo lawwza kukaa zaidi ya siku saba au kumi na tano mpaka ishirini.mahali oengine yai laweza kutunzwa miezi kadhaa lisiharibike na likatotolewa.
Kwa majibu haya,namaanisha kuwa yai hata likiwa la siku moja,kama halitatunzwa mahali pa joto la wastani nililosema,laweza kuharibika.kwahiyo pamoja na kuuliza yai la siku ngapi,pia tuulize alihifadhi wapi.
Tutakuletea soon.AhsanteNami nahitaji mayai,0784413039,pia kuna wateja wangu wanaonunua incubator wanahitaji sana.
Naweza kuzalisha hadi 70 kwa wiki kiwango cha juu na cha chini 50...Karibu sanaUnaweza supply tray ngapi za mayai kwa week moja?
Weka namba yako ya simu tukuleteeeNahitaji trey 2nipo TIA dar
Naweza kuzalisha hadi 70 kwa wiki kiwango cha juu na cha chini 50...Karibu sana
Niko dar...unaweza kunipigia simu kuanzia kesho namba 0788-407407 kwa maelekezo zaidi maana mikoani pia tunasafirishaMayai yatakuwa yanahitajika Mwanza!
Wewe unapatikana wapi?