jamani naombeni msaada wenu,nasikia kuna mayai ya kuku wa kisasa yameingia yana madhara kwa afya hasa wanaume inasemekana inawapunguzia nguvu za kiume,kuna ukweli wowote wadau?
jamani naombeni msaada wenu,nasikia kuna mayai ya kuku wa kisasa yameingia yana madhara kwa afya hasa wanaume inasemekana inawapunguzia nguvu za kiume,kuna ukweli wowote wadau?
Na nani alikwambia ni madhara kupungukiwa na nguvu za kiume? Acha zipungue kwani kwanza tukiacha masihara, hizi nguvu za kazi gani hasa manake wanawake hawana lkn still wanabeba mizigo na ndoo za maji kichwani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.