ok, vipi hicho kizazi ni endelevu kweli? maana niliwahi zungumza na reseacher mmoja akanieleza hivyo.
Jaribio hili halina zaidi ya miezi 9 Sijajua itakuwaje baadae ila vifaranga wamekua na wamefikia kutaga ninawatunza kienyeji yaani wanatembea tembea nje.