Africa_Spring
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 426
- 111
Naomba kujuzwa wapi naweza kupata mayai ya kanga kwa bei yoyote ile.
Natanguliza shukurani
Natanguliza shukurani
Kama uliombwa na mganga wa kienyeji
yeye huyo huyo anakua na biashara hio
Kama uliombwa na mganga wa kienyeji
yeye huyo huyo anakua na biashara hio
unataka kiasi gani,mie ninayo tele