Mayai ya kanga

Kama uliombwa na mganga wa kienyeji
yeye huyo huyo anakua na biashara hio
 
Kama uliombwa na mganga wa kienyeji
yeye huyo huyo anakua na biashara hio

Nina mashine ya kutotoresha mayai...sasa nimezalisha vifaranga vya kuku now nahitaji nizalishe vifaranga vya kanga, si unajua tena huku kijijini biashara zetu mifugo jamani tofauti na ninyi wa mjini ndugu zetu. Hata kama naweza kuyapata kwa huyo mganga ntashukuru pia.
 
Back
Top Bottom