leamashina
Member
- Jul 5, 2012
- 25
- 2
Nauza mayai ya kanga kwa wanaotaka kutotolesha au kula. Yai moja shs 500.
Nauza mayai ya kanga kwa wanaotaka kutotolesha au kula. Yai moja shs 500.
upowapi mkuu
OK ninaweza kukuletea town usijali. ofisini kwangu ni karibu na Ocean Road Hospital. Piga simu na. 0712-695090 uniambie unayataka mangapi na lini. Nina ya kanga tu kwa sasa. Pia nina ya kuku wa kienyeji.
Bata mzinga wakianza kutaga nitakujuza. Ninauza bata mzinga dume kama unataka.
Hivi bata mziga dume anaweza kuzaa na bata wa kawaida?
OK ninaweza kukuletea town usijali. ofisini kwangu ni karibu na Ocean Road Hospital. Piga simu na. 0712-695090 uniambie unayataka mangapi na lini. Nina ya kanga tu kwa sasa. Pia nina ya kuku wa kienyeji.
Bata mzinga wakianza kutaga nitakujuza. Ninauza bata mzinga dume kama unataka.