wazuri,wakali kwetu wanaitwa bata walinzi kama mbwa vile mgeni haji ovyoovyoMh wakuu hao bata bukini wapoje na wanasifa gani nauliza tu sababu bei imenistua au ni adimu kupatikana.
Duu hatari thanks kwa kunifahamishawazuri,wakali kwetu wanaitwa bata walinzi kama mbwa vile mgeni haji ovyoovyo
Ninao bukini ipe namba yako ya simu tuongeeNashukuru mkuu, mimi nico Kahama na huku sijaona kabisa bukini hata hao nilionao nilinunua Mwanza na alieniuzia aliisha wauza wote sijui unaweza nisaidia kama una jogoo la kuuza ili nilinunue
Namba yangu ya sim 0755474311 piga kuanzia saa moja usiku ndo napatikanaNinao bukini ipe namba yako ya simu tuongeeView attachment 409694
Habari, hao Tausi wanapatikana kweli? Kama wanapatikana, nipe bei niwafuate mkuu.
Utafungwa comrade. Mayai ya Tausi yanapatika kwenye vichaka vidogo mtaa wa Shaaban Roberts lile eneo kwasasa wamejenga ubalozi wa India, wale toto tundu walikuwa wanajipatia vitamin. Pia viwanja vya ikulu sijui utaingiaje na ukiyapata ni kula tu mayai, wakikuta na Tausi UtafungwaHabari, hao Tausi wanapatikana kweli? Kama wanapatikana, nipe bei niwafuate mkuu.
unawauza kiasi gani mkuu hao bata bukini?ukihitaji wengine mimi nawauza mkuu niko dar mbezi (kwa Msuguri)
dume la bata bukini anaweza kumpanda bata wa kawaida?laki na themanini kwa mmoja hadi laki na hamsini
nauza 170,000 kwa kila mmoja hawana uhusiano wa uzao na pili wana mwaka mmoja then ni wale wenye maumbo makubwaunawauza kiasi gani mkuu hao bata bukini?
kaka ntafikaje site kwako ili nipate maelekezo zaidi na ikiwezekana pia tutafanya biasharaKaka uko serious ninao nauza 180,000 wana kilo Nane