Nina wasi wasi sana na hii habari, isije ikawa ni fitina tuu ya wauza mayai wetu wa ki Tz waogopa ushindani! Kama kuna mwana JF aliye yaona hayo mayai ambayo hayana kiini, yana nyuzi nyuzi tunaomba athibitishe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.