Mayahudi Weusi

Kingu, haya magazeti unafikir tuna muda wa kuyasoma? Weka abstract ya unalo taka kusema.
 
MAYAHUDI KUMZULIA UWONGO MWENYZI MUNGU.

Mwenyezi Mungu S.W.T. alichukua ahadi kwa Mayahudi ili kusudi wasimzulie uwongo Mola wao na wasiseme ila ya haki. Lakini wao walikwenda kinyume na kuvunja zile ahadi. Wakamzulia uwongo Allah S.W.T.. Na hapa chini nitaeleza moja baada ya moja yale mambo waliyomzulia uwongo Mwenyezi Mungu S.W.T. kutoka ndani ya Qurani kama ifuatavyo:-

1.KUBADILI MANENO YA MWENYEZI MUNGU S.W.T..


Kundi la Mayahudi lilimsingizia uwongo Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa kuyabadili maneno yale yaliyoteremshwa kutoka kwa Mola wao kisha wakadai kuwa maneno hayo waliyoyabadili ni maneno yaliyoteremshwa katika Kitabu cha Taurati na hali walikuwa wakijua kwamba si kutoka katika Taurati wala si maneno ya Mwenyezi Mungu S.W.T.. Ndio maana Allah S.W.T. akawafedhehesha ndani ya Qurani tukufu katika Surat Aali-`Imraan aya ya 78,

“Na wapo baadhi yao wanaopindua ndimi zao katika kusoma Kitabu ili mdhanie kuwa hayo yanatoka Kitabuni, na wala hayatoki Kitabuni. Na husema: “Haya yametoka kwa Mwenyezi Mungu. Na wala hayatoki kwa Mwenyezi Mungu. Na wanamsingizia Mwenyezi Mungu uwongo na wao wanajua.”

2.KUHARAMISHA NYAMA YA NGAMIA.

Mayahudi walimsingizia uwongo Mwenyezi Mungu S.W.T. kwamba amewateremshia sheria ya kuharamishwa kula nyama ya ngamia baada ya Nabii Ya`aquub kujiharamishia yeye mwenyewe nyama ya ngamia na tokeo hilo lilikuwa kabla ya kuteremshwa Taurati. Ndio maana Mola S.W.T. akawajibu ndani ya Qurani tukufu katika Surat Aali-`Imraan aya ya 93,

“Kila chakula kilikuwa halali kwa Wana wa Israili isipokuwa kile alichojiharamishia Israili (Nabii Ya`aquub) mwenyewe kabla haijateremshwa Taurati. Sema: “Leteni Taurati muisome ikiwa nyinyi ni wasema kweli.”

Na katika Hadithi iliyopokelewa na Ibn Abbaas R.A.A. na kutolewa na Ibn Kathiir inathibitisha uwongo wa Mayahudi. Ibn Abbaas kasema,

“Alipopata (Nabii) Ya`aquub maradhi ya mshipa, matabibu walimshauri ajizue kula nyama ya ngamia. Akajiharamishia yeye mwenyewe. Mayahudi wakasema: “Kwa hakika tujiharamishie sisi wenyewe nyama ya ngamia. Kwa sababu (Nabii) Ya`aquub kaiharamisha. Mwenyezi Mungu akateremsha kuharamishwa kwake katika Taurati. Mola akashusha hii aya Kila chakula kilikuwa halali kwa Wana wa Israili isipokuwa kile alichojiharamishia Israili (Nabii Ya`aquub) mwenyewe kabla haijateremshwa Taurati… ”

Pia Hadithi iliyopokelewa na Ibn Abbas R.A.A. na kutolewa na Ahmad kasema,

“Walihudhuria jamaa miongoni mwa Mayahudi kwa Mtume S.A.W.. Wakasema: “Ewe Aba Qaasim! Tuhadithie mambo tutakayokuuliza hamna ayajuaye ila Nabii.” Akajibu: “Niulizeni mnavyotaka.” Wakasema: “Tuambie kutokana na mambo manne: “Tuambie chakula gani alichojiharamishia Israil (Nabii Ya`aquub) mwenyewe kabla ya kuteremshwa Taurati? Akajibu: “Nitakuulizeni kwa kiapo cha Mola Ambaye aliiteremsha Taurati kwa (Nabii) Musa jee, mnajua kwa hakika Nabii Ya`aquub A.S. aliugua maradhi makali ukaendelea ugonjwa wake kwa muda mrefu. Akaweka nadhiri kwa Mwenyezi Mungu ikiwa Mwenyezi Mungu atamponesha kutokana na maradhi yake atajiharamishia kinywaji akipendacho, na chakula akipendacho. Na kilikuwa chakula akipendacho ni nyama ya ngamia na kinywaji akipendacho maziwa yake. Wakasema: “Ndiyo.”

3.KUDAI KUWA WAO WAMETAKASIKA.

Mayahudi walimtungia uwongo Mwenyezi Mungu S.W.T. walipodai kwamba ati nafsi zao zimetakasika na ni makhsusi kwa ajili yao peke yao bila watu wengine. Na wakadai kwamba Mola Mtukufu Ndiye aliyewafanya watakasike wao tu. Kwa sababu hiyo ndio maana Mwenyezi Mungu S.W.T. akawalaumu ndani ya Qurani katika Suratin Nisaa aya ya 49 na ya 50,

“Jee! Huwaoni wale wanaodai kuwa ati wametakasika? Bali Mwenyezi Mungu humtakasa amtakaye. Na hawatadhulumiwa hata kadiri ya kijiuzi kilichomo ndani ya uwazi wa kokwa ya tende. Tazama vipi wanavyomzulia uwongo Mwenyezi Mungu, na haya yatosha kuwa dhambi iliyo dhahiri.”

Mayahudi hawakuwa wakijua kwamba Mola Mtukufu anajua na anaona na kusikia yote yale waliyokuwa wakimsingizia uwongo, na wala hawakujua kuwa Yeye Ndiye anayezitakasa nafsi za waja wema si za watu waovu. Ndio maana Mwenyezi Mungu S.W.T. amekataza kujisifu au kusema nafsi yangu imetakasika. Kasema katika Suratin Najm aya ya 32,

“…Yeye (Mwenyezi Mungu) Ndiye anayekujueni sana tangu alipokuumbeni katika ardhi, na mlipokuwa mimba matumboni mwa mama zenu. Basi msizitakase (msizisifu) nafsi zenu; Yeye anamjua sana (mmoja mmoja) aliyetakasika (na asiyetakasika).”

Na katika Hadithi iliyotolewa na Muslim, Mtume S.A.W. kasema,

“Mkiwaona wanaojisifu jazeni (fumbata) viganja vya mikono yenu mchanga kisha wamwagieni katika nyuso zao.”

4.KUSEMA “SISI NI WANA WA MUNGU NA TUPENDWAO.”

Mayahudi walidai kwamba wao ni wana wa Mungu na awapendao. Lakini Mwenyezi Mungu S.W.T. aliwakadhibisha ndani ya Qurani tukufu madai yao hayo ya uwongo, kasema katika Suratil Maaida aya ya 18,

“Na Mayahudi na Manasara (Wakristo) wanasema: “Sisi ni wana wa Mwenyezi Mungu na wapenzi Wake.” Sema: “Basi kwa nini anakuadhibuni kwa ajili ya dhambi zenu?” Bali nyinyi ni watu (tu) kama wale (watu) wengine aliowaumba. Humghufiria (humsamehe) amtakaye (anapotubia) na humuadhibu amtakaye (asipotubia)…”

Na pia Hadithi iliyopokelewa na Ibn Abbaas R.A.A. na kutolewa na Ibn Kathiir kasema,

“Mtume S.A.W. alijiwa na No`umaan bin Aasaa na Bahar bin `Amrou na Shaas bin `Adai wakamsemeza. Na Mtume S.A.W. akawasemeza na akawaita katika (dini ya) Mwenyezi Mungu. Akawahadharisha adhabu Yake. Wakamjibu: “Usituogopesha ewe Muhammad! Sisi tunakuapia kwa Mwenyezi Mungu ni wana wa Mungu na vipenzi Vyake.” Mwenyezi Mungu akateremsha hiyo aya ya 18 ya Suratil Maaida Na Mayahudi na Manasara (Wakristo) wanasema: “Sisi ni wana wa Mwenyezi Mungu na wapenzi Wake.

5.KUSEMA “SISI HATULAUMIWI KWA AJILI YA WAJINGA.”

Mayahudi walimtungia uwongo Mwenyezi Mungu S.W.T. kwa kusema kwamba wao hawalaumiwi kabisa ikiwa watadhulumu mali ya mtu asiyekuwa Myahudi au aliyekuwa tofauti na dini yao. Na Mola akawafedhehesha ndani ya Qurani kwa uwongo wao huo wa kutunga wao wenyewe. Kasema katika Surat Aali-`Imraan aya ya 75,

“Na miongoni mwa watu wa Kitabu yupo ambaye ukimpa amana ya mrundi wa mali atakurudishia, na miongoni mwao yupo ambaye ukimpa amana ya dinari moja hakurudishii isipokuwa ukimsimamia kumdai. Haya ni kwa kuwa wakisema: “Hatuna lawama kwa ajili ya hawa wasiojua kusoma.” Na wanamzulia uwongo Mwenyezi Mungu, hali nao wanajua.”


6.KUSEMA “KUWENI MAYAHUDI MTAONGOKA.”

Mayahudi walizidisha uwongo wao wa kumtungia Mwenyezi Mungu Mtukufu kwamba kawafanya wao makhsusi peke yao kuwa wameongoka. Lakini watu wote waliobaki hawakuongoka. Mfano ikiwa mtu ni Mwislamu lakini si Myahudi basi mtu yule ni kafiri. Lakini Allah S.W.T. aliwajibu ndani ya Qurani kuwa “Muongofu na Muumin ni yule mwenye kufuata Mila ya Nabii Ibrahim.” Kasema katika Suratil Baqarah aya ya 135,

“Na wakasema: Kuweni Mayahudi au Wakristo ndio mtaongoka. Sema: “Bali tunashika mila ya Ibrahim mwongofu, wala hakuwa katika washirikina.”

Mayahudi walidai kwamba Nabii Ibrahim alikuwa Yahudi kama vile Manasara (Wakristo) nao walivyodai kuwa alikuwa ni Mnasara (Mkristo). Lakini Mola S.W.T. alikanusha madai yao hayo kwani wakati wake Nabii Ibrahim ulikuwa kabla ya kuteremshwa Taurati. Sasa vipi atakuwa Yahudi? Ndio maana Mwenyezi Mungu S.W.T. aliwajibu katika Surat Aali-`Imraan aya ya 65 na ya 66,

“Enyi watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim, na hali Taurati na Injili hazikuteremshwa ila baada yake? Basi hamzingatii? Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyoyajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyoyajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui.”
Na Hadithi iliyopokelewa na Ibn Abbaas R.A.A. na kutolewa na Ibn Kathiir kasema, “

“Walikusanyika pamoja Manasara (Wakristo) wa Najraan na Wanavyuoni wa Kiyahudi kwa Mtume S.A.W. wakabishana kwake, Wanavyuoni wa Kiyahudi wakasema: “Nabii Ibrahim hakuwa ila Yahudi.” Na Manasara (Wakristo) wakasema: “Nabii Ibrahim hakuwa ila Mnasara (Mkristo).” Ndipo hapo Mwenyezi Mungu S.W.T. akateremsha Enyi watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim…”

Kisha Mwenyezi Mungu S.W.T. aliwabainishia kauli ya haki kuhusu Nabii Ibrahim kuwa yeye hakuwa Myahudi wala Mnasara (Mkristo) bali alikuwa Mwislamu aliyeongoka na wala hakuwa katika washirikina (wanaoabudu masanamu). Kasema katika Surat Aali-`Imraan aya ya 67 na ya 68,

“Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mnasara (Mkristo), lakini alikuwa mwongofu Mwislamu, wala hakuwa katika washirikina. Watu wanaomkaribia zaidi Ibrahim ni wale waliomfuata yeye na Nabii huyu na walioamini. Na Mwenyezi Mungu Ndiye Mlinzi wa Waumini.”

7.KUSEMA “TUTASAMEHEWA.”

Mayahudi hawakukoma kumsingizia uwongo Mwenyezi Mungu Mtukufu bali waliendelea nao ijapokuwa walionywa na kuonywa na kulaaniwa lakini wapi! Hawakusikia kwa ajili ya ukaidi wao na nyoyo zao zilivyokuwa ngumu hazisikii maneno ya Mola Mtukufu. Na uwongo wao mkubwa wa kujipa moyo ulikuwa wa kusema “Mola atatusamehe,” ingawa tutafanya madhambi na uuaji kwa sababu ati wao ni Mayahudi na wao kama wanavyodai ni wana wa Mungu hivyo hawawezi kuadhibiwa. Lakini Mwenyezi Mungu S.W.T. aliukanusha uwongo wao huo na akawajibu ndani ya Qurani katika Suratil A`araaf aya ya 169,

“Basi wakawaandamia nyuma yao (yaani baada ya wale Mayahudi wazuri, Mitume na wengineo, kikaja) kizazi kibaya waliorithi Kitabu (cha Mwenyezi Mungu pasipo kukifuata wala kuzingatia yale yaliyowafika wabaya wao). Wakachukua vilivyokatazwa vya hapa ulimwenguni, na huku wanasema: “Tutasamehewa.” Na kama vingine vya namna hii vikiwafikia pia wanavichukua…”

Mwenyezi Mungu S.W.T. kabainisha vipi jinsi mtu anavyoweza kusamehewa madhambi yake si kusema tu kwa ulimi. Na pia akabainisha shuruti yake ambayo ndio toba. Kasema katika Suratin Nisaa aya ya 17 na ya 18,

“Hakika toba inayokubaliwa na Mwenyezi Mungu ni ya wale wafanyao uovu kwa ujinga, kisha wakatubia kwa haraka. Hao ndio Mwenyezi Mungu huwakubalia toba yao, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na ni Mwenye hekima. Wala hawana toba wale wafanyao maovu mpaka yakamfikia mmoja wao mauti, kisha hapo akasema: “Hakika mimi sasa nimetubia.” Wala wale wanaokufa na hali wao ni makafiri. Hao tumewaandalia adhabu chungu.”

Na Imaam Nawawi kaelezea shuruti za toba kasema, “
Wanavyuoni wamesema: “Toba ni wajibu kwa kila dhambi. Ikiwa maasia baina ya mja na baina ya Mwenyezi Mungu Mtukufu haihusiani na haki ya binadamu ina shuruti tatu; mojawapo: Kuacha kufanya maasi. Na pili: Kujuta kwa kufanya kile kitendo. Na tatu: Kuweka nia moyoni kwamba hutarudia tena kufanya dhambi hiyo. Ikiachwa mojawapo ya hizo tatu basi toba hiyo siyo sahihi.”

8.KUSEMA “HAUTATUGUSA MOTO ILA KWA SIKU CHACHE TU.”

Mayahudi walizidisha uwongo wao wakafikia hadi kusema kwamba Moto wa Jahannam hautawagusa ila siku chache tu hivi. Kama kwamba ndio Mwenyezi Mungu Mtukufu aliwaahidi hivyo. Lakini Allah S.W.T. aliukadhibisha ule uwongo wao waliomsingizia. Kasema katika Suratil Baqarah aya ya 80,

“Na walisema: Hautatugusa Moto ila kwa siku chache tu. Sema: Mmechukua ahadi kwa Mwenyezi Mungu? Kweli Mwenyezi Mungu hatokwenda kinyume na ahadi yake. Au mnamsingizia Mwenyezi Mungu mambo msiyo yajua?”

Pia kasema katika Surat Aali-`Imraan aya ya 24,

“Hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa Moto isipokuwa kwa siku chache tu. Na yakawadanganya katika dini yao yale ambayo wenyewe waliyokuwa wakiyazua.”

Na katika Hadithi iliyopokelewa na Abu Huraira R.A.A. na iliyotolewa na L-Bukhari kasema,

“Hakika Mtume S.A.W. kawaambia Mayahudi: “Nani watu wa Motoni?” Wakajibu: “Tutaingia kwa muda mchache.” Mtume S.A.W. akasema: “Tokomeeni humo! Naapa kwa Mwenyezi Mungu hatutakushughulikieni humo kabisa…”

Kisha Mwenyezi Mungu S.W.T. akawabainishia nani watu Motoni na nani watu wa Peponi. Kasema katika Suratil Baqarah aya ya 81 na ya 82,

“Naam, anayechuma ubaya na makosa yake yakamzunguka hao ndio watu wa Motoni; humo watadumu. Na wale walioamini na wakatenda mema, hao ndio watu wa Peponi, humo watadumu.”

9.KUSEMA “HATOINGIA PEPONI ISIPOKUWA MAYAHUDI.”

Mayahudi waliendelea na uwongo wao wa kujipa moyo ingawa matamanio yao hayo hayakuwapatia faida yoyote ile isipokuwa kuwazidishia chuki na ghadhabu na laana ya Mwenyezi Mungu S.W.T.. Na hata walifikia kudai kwamba Pepo ni makhsusi kwa ajili ya Mayahudi tu. Hawezi mtu yeyote yule mwingine kuingia ila atakayefuata mila yao. Hawakujua kwamba maneno hayo yalikuwa ni kumzulia uwongo Mola wa walimwengu wote. Na Mwenyezi Mungu S.W.T. akawabainishia haki kwamba hayo wanayodai hayana dalili yote wala ushahidi wowote. Hayakuwa hayo ila ni matamanio yao waliyotamani katika nyoyo zao wapate lakini hawatopata kamwe, ila mpaka ngamia aingie kwenye tundu la sindano, nayo nimustahili. Kasema katika Suratil Baqarah aya ya 111,

“Na walisema: “Hataingia Peponi ila aliyekuwa Yahudi au Mnasara (Mkristo). Hayo ni matamanio yao. Sema: Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli.”

Mwenyezi Mungu S.W.T. aliendelea kuwajibu Mayahudi ikiwa kweli wanayosema kwamba Pepo ni makhsusi kwa ajili yao basi wajiombee mauti ili wafe na wapate kuingia Peponi. Lakini wapi! Hakuna atakaejiombea, huo ni uwongo tu wa kutunga. Na sababu ya kutojiombea mauti ni kwa ajili Mayahudi wamefanya madhambi mengi na wanaogopa kuadhibiwa adhabu kali inayowangoja huko Akhera. Hivyo kuepukana nayo ndio maana wanatamani lau kama wangeliishi miaka elfu hapa duniani. Lakini hata hivyo kuishi kwa huko hakutawasaidia kitu. Kwa sababu hawataepukana na adhabu ya Mola Mtukufu na hata wakiishi zaidi watazidisha tu kuchuma madhambi zaidi. Hivyo adhabu yao pia itazidi. Kasema katika Suratil Baqarah tokeya aya ya 94 hadi 96,

“Sema: Ikiwa nyumba ya Akhera iliyoko kwa Mwenyezi Mungu ni yenu tu bila watu wengine, basi tamanini mauti kama nyinyi mnasema kweli. Wala hawatayatamani kamwe kwa sababu ya yale yaliyotangulizwa na mikono yao; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwajua vyema wanaodhulumu. Na hakika utawaona ni wenye kuwashinda watu wote kwa pupa ya kuishi, na kuliko washirikina. Kila mmoja wao anatamani lau angelipewa umri wa miaka elfu. Wala hayo ya kuzidishiwa umri hayamuondoshei adhabu; na Mwenyezi Mungu anayaona wanayoyatenda.”

Mayahudi walikuwa ni watu wakipenda sana maisha ya dunia kwani walijua kwamba kuna adhabu kali inawangojea huko Akhera kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu. Na wanaogopa kufa kwani walikufuru aya za Mola Mtukufu. Na hata kama wakijaribu kwa namna yoyote ile kuyakimbia mauti na kupenda maisha ya dunia, lakini mauti yenyewe yatamfuata kila mmoja wao mpaka pale pahala alipo kisha atafishwa na Malaika wa Mauti, na siku ya Kiyama atasimamishwa mbele ya Mwenyezi Mungu S.W.T. baadaye atahesabiwa kwa yale aliyomsingizia Mola uwongo. Kama alivyosema Mwenyezi Mungu S.W.T. katika Suratil Jumu`a aya ya 6 na ya 7,

“Sema: “Enyi Mayahudi! Kama mnadai ya kuwa nyinyi (kweli) ni wapenzi wa Mwenyezi Mungu pasipokuwa watu wengine, basi yatamanini mauti (mwendezenu Peponi kwa Mwenyezi Mungu), ikiwa mnasema kweli. Lakini wapi! Hawatayatamani kabisa kwa sababu ya yale iliyoyatanguliza mikono yao; na Mwenyezi Mungu anawajua madhalimu.”
 
Mimi si mayahudi lakini mimi ni Myahudi. Yaani kwa lugha ya wazungu I am a Jew.
Mungu ninayemwabudu ni Jehova na si allah, So what, you mohamed's followers?
Mbona mnatumaindi sana?

Mkuu:

Jihite mzaramo tu. Kuamini Jehova haikufanyi wewe kuwa Jew. Hiyo ni inferiority complex.
 
ndugu zangu wakristo na ndugu zangu waislamu,

siku hizi wameenea kila sehemu mayahudi weusi hasa hapa tz wapo, na nia yao na kazi yao kubwa ni kuwachonganisha wakristo na waislamu ili wasipatane, wanatumia kila njia ili wafanikiwe kutekeleza lengo lao hilo, wanatumia hata internet kueneza vitina zao hizo, hata humu.. Wamo, wengine wanajifanya kama vile wakristo na kuanza kuwatukana waislamu, na wengine wanajifanya kama vile waislamu na kuanza kuwatukana wakristo, lengo lao ni kuweka chuki baina ya waumini wa dini hizi mbili zinazo karibiana sana katika imani zao, siwezi kuwataja kwa majina jamaa hawa lakini nyie wenyewe mtaweza kuwajua mkiwa mnapima maneno yao, kwa hiyo, kuweni waangalifu...

nawaomba waislamu na wakristo tuendelee kuishi vizuri pamoja kama mababu zetu walivyo kuwa wakiishi kwa mapenzi na kuheshimiana.


swadakta..
Ulichokiongea ni ukweli mtupu
 
mayahudi kumzulia uwongo mwenyzi mungu.

mwenyezi mungu s.w.t. Alichukua ahadi kwa mayahudi ili kusudi wasimzulie uwongo mola wao na wasiseme ila ya haki. Lakini wao walikwenda kinyume na kuvunja zile ahadi. Wakamzulia uwongo allah s.w.t.. Na hapa chini nitaeleza moja baada ya moja yale mambo waliyomzulia uwongo mwenyezi mungu s.w.t. Kutoka ndani ya qurani kama ifuatavyo:-

1.kubadili maneno ya mwenyezi mungu s.w.t..


kundi la mayahudi lilimsingizia uwongo mwenyezi mungu mtukufu kwa kuyabadili maneno yale yaliyoteremshwa kutoka kwa mola wao kisha wakadai kuwa maneno hayo waliyoyabadili ni maneno yaliyoteremshwa katika kitabu cha taurati na hali walikuwa wakijua kwamba si kutoka katika taurati wala si maneno ya mwenyezi mungu s.w.t.. Ndio maana allah s.w.t. Akawafedhehesha ndani ya qurani tukufu katika surat aali-`imraan aya ya 78,

"na wapo baadhi yao wanaopindua ndimi zao katika kusoma kitabu ili mdhanie kuwa hayo yanatoka kitabuni, na wala hayatoki kitabuni. Na husema: "haya yametoka kwa mwenyezi mungu. Na wala hayatoki kwa mwenyezi mungu. Na wanamsingizia mwenyezi mungu uwongo na wao wanajua."

2.kuharamisha nyama ya ngamia.

Mayahudi walimsingizia uwongo mwenyezi mungu s.w.t. Kwamba amewateremshia sheria ya kuharamishwa kula nyama ya ngamia baada ya nabii ya`aquub kujiharamishia yeye mwenyewe nyama ya ngamia na tokeo hilo lilikuwa kabla ya kuteremshwa taurati. Ndio maana mola s.w.t. Akawajibu ndani ya qurani tukufu katika surat aali-`imraan aya ya 93,

"kila chakula kilikuwa halali kwa wana wa israili isipokuwa kile alichojiharamishia israili (nabii ya`aquub) mwenyewe kabla haijateremshwa taurati. Sema: "leteni taurati muisome ikiwa nyinyi ni wasema kweli."

na katika hadithi iliyopokelewa na ibn abbaas r.a.a. Na kutolewa na ibn kathiir inathibitisha uwongo wa mayahudi. Ibn abbaas kasema,

"alipopata (nabii) ya`aquub maradhi ya mshipa, matabibu walimshauri ajizue kula nyama ya ngamia. Akajiharamishia yeye mwenyewe. Mayahudi wakasema: "kwa hakika tujiharamishie sisi wenyewe nyama ya ngamia. Kwa sababu (nabii) ya`aquub kaiharamisha. Mwenyezi mungu akateremsha kuharamishwa kwake katika taurati. Mola akashusha hii aya kila chakula kilikuwa halali kwa wana wa israili isipokuwa kile alichojiharamishia israili (nabii ya`aquub) mwenyewe kabla haijateremshwa taurati… "

pia hadithi iliyopokelewa na ibn abbas r.a.a. Na kutolewa na ahmad kasema,

"walihudhuria jamaa miongoni mwa mayahudi kwa mtume s.a.w.. Wakasema: "ewe aba qaasim! Tuhadithie mambo tutakayokuuliza hamna ayajuaye ila nabii." akajibu: "niulizeni mnavyotaka." wakasema: "tuambie kutokana na mambo manne: "tuambie chakula gani alichojiharamishia israil (nabii ya`aquub) mwenyewe kabla ya kuteremshwa taurati? Akajibu: "nitakuulizeni kwa kiapo cha mola ambaye aliiteremsha taurati kwa (nabii) musa jee, mnajua kwa hakika nabii ya`aquub a.s. Aliugua maradhi makali ukaendelea ugonjwa wake kwa muda mrefu. Akaweka nadhiri kwa mwenyezi mungu ikiwa mwenyezi mungu atamponesha kutokana na maradhi yake atajiharamishia kinywaji akipendacho, na chakula akipendacho. Na kilikuwa chakula akipendacho ni nyama ya ngamia na kinywaji akipendacho maziwa yake. Wakasema: "ndiyo."

3.kudai kuwa wao wametakasika.

Mayahudi walimtungia uwongo mwenyezi mungu s.w.t. Walipodai kwamba ati nafsi zao zimetakasika na ni makhsusi kwa ajili yao peke yao bila watu wengine. Na wakadai kwamba mola mtukufu ndiye aliyewafanya watakasike wao tu. Kwa sababu hiyo ndio maana mwenyezi mungu s.w.t. Akawalaumu ndani ya qurani katika suratin nisaa aya ya 49 na ya 50,

"jee! Huwaoni wale wanaodai kuwa ati wametakasika? Bali mwenyezi mungu humtakasa amtakaye. Na hawatadhulumiwa hata kadiri ya kijiuzi kilichomo ndani ya uwazi wa kokwa ya tende. Tazama vipi wanavyomzulia uwongo mwenyezi mungu, na haya yatosha kuwa dhambi iliyo dhahiri."

mayahudi hawakuwa wakijua kwamba mola mtukufu anajua na anaona na kusikia yote yale waliyokuwa wakimsingizia uwongo, na wala hawakujua kuwa yeye ndiye anayezitakasa nafsi za waja wema si za watu waovu. Ndio maana mwenyezi mungu s.w.t. Amekataza kujisifu au kusema nafsi yangu imetakasika. Kasema katika suratin najm aya ya 32,

"…yeye (mwenyezi mungu) ndiye anayekujueni sana tangu alipokuumbeni katika ardhi, na mlipokuwa mimba matumboni mwa mama zenu. Basi msizitakase (msizisifu) nafsi zenu; yeye anamjua sana (mmoja mmoja) aliyetakasika (na asiyetakasika)."

na katika hadithi iliyotolewa na muslim, mtume s.a.w. Kasema,

"mkiwaona wanaojisifu jazeni (fumbata) viganja vya mikono yenu mchanga kisha wamwagieni katika nyuso zao."

4.kusema "sisi ni wana wa mungu na tupendwao."

mayahudi walidai kwamba wao ni wana wa mungu na awapendao. Lakini mwenyezi mungu s.w.t. Aliwakadhibisha ndani ya qurani tukufu madai yao hayo ya uwongo, kasema katika suratil maaida aya ya 18,

"na mayahudi na manasara (wakristo) wanasema: "sisi ni wana wa mwenyezi mungu na wapenzi wake." sema: "basi kwa nini anakuadhibuni kwa ajili ya dhambi zenu?" bali nyinyi ni watu (tu) kama wale (watu) wengine aliowaumba. Humghufiria (humsamehe) amtakaye (anapotubia) na humuadhibu amtakaye (asipotubia)…"

na pia hadithi iliyopokelewa na ibn abbaas r.a.a. Na kutolewa na ibn kathiir kasema,

"mtume s.a.w. Alijiwa na no`umaan bin aasaa na bahar bin `amrou na shaas bin `adai wakamsemeza. Na mtume s.a.w. Akawasemeza na akawaita katika (dini ya) mwenyezi mungu. Akawahadharisha adhabu yake. Wakamjibu: "usituogopesha ewe muhammad! Sisi tunakuapia kwa mwenyezi mungu ni wana wa mungu na vipenzi vyake." mwenyezi mungu akateremsha hiyo aya ya 18 ya suratil maaida na mayahudi na manasara (wakristo) wanasema: "sisi ni wana wa mwenyezi mungu na wapenzi wake.

5.kusema "sisi hatulaumiwi kwa ajili ya wajinga."

mayahudi walimtungia uwongo mwenyezi mungu s.w.t. Kwa kusema kwamba wao hawalaumiwi kabisa ikiwa watadhulumu mali ya mtu asiyekuwa myahudi au aliyekuwa tofauti na dini yao. Na mola akawafedhehesha ndani ya qurani kwa uwongo wao huo wa kutunga wao wenyewe. Kasema katika surat aali-`imraan aya ya 75,

"na miongoni mwa watu wa kitabu yupo ambaye ukimpa amana ya mrundi wa mali atakurudishia, na miongoni mwao yupo ambaye ukimpa amana ya dinari moja hakurudishii isipokuwa ukimsimamia kumdai. Haya ni kwa kuwa wakisema: "hatuna lawama kwa ajili ya hawa wasiojua kusoma." na wanamzulia uwongo mwenyezi mungu, hali nao wanajua."


6.kusema "kuweni mayahudi mtaongoka."

mayahudi walizidisha uwongo wao wa kumtungia mwenyezi mungu mtukufu kwamba kawafanya wao makhsusi peke yao kuwa wameongoka. Lakini watu wote waliobaki hawakuongoka. Mfano ikiwa mtu ni mwislamu lakini si myahudi basi mtu yule ni kafiri. Lakini allah s.w.t. Aliwajibu ndani ya qurani kuwa "muongofu na muumin ni yule mwenye kufuata mila ya nabii ibrahim." kasema katika suratil baqarah aya ya 135,

"na wakasema: Kuweni mayahudi au wakristo ndio mtaongoka. Sema: "bali tunashika mila ya ibrahim mwongofu, wala hakuwa katika washirikina."

mayahudi walidai kwamba nabii ibrahim alikuwa yahudi kama vile manasara (wakristo) nao walivyodai kuwa alikuwa ni mnasara (mkristo). Lakini mola s.w.t. Alikanusha madai yao hayo kwani wakati wake nabii ibrahim ulikuwa kabla ya kuteremshwa taurati. Sasa vipi atakuwa yahudi? Ndio maana mwenyezi mungu s.w.t. Aliwajibu katika surat aali-`imraan aya ya 65 na ya 66,

"enyi watu wa kitabu! Mbona mnabishana juu ya ibrahim, na hali taurati na injili hazikuteremshwa ila baada yake? Basi hamzingatii? Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyoyajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyoyajua? Na mwenyezi mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui."
na hadithi iliyopokelewa na ibn abbaas r.a.a. Na kutolewa na ibn kathiir kasema, "

"walikusanyika pamoja manasara (wakristo) wa najraan na wanavyuoni wa kiyahudi kwa mtume s.a.w. Wakabishana kwake, wanavyuoni wa kiyahudi wakasema: "nabii ibrahim hakuwa ila yahudi." na manasara (wakristo) wakasema: "nabii ibrahim hakuwa ila mnasara (mkristo)." ndipo hapo mwenyezi mungu s.w.t. Akateremsha enyi watu wa kitabu! Mbona mnabishana juu ya ibrahim…"

kisha mwenyezi mungu s.w.t. Aliwabainishia kauli ya haki kuhusu nabii ibrahim kuwa yeye hakuwa myahudi wala mnasara (mkristo) bali alikuwa mwislamu aliyeongoka na wala hakuwa katika washirikina (wanaoabudu masanamu). Kasema katika surat aali-`imraan aya ya 67 na ya 68,

"ibrahim hakuwa yahudi wala mnasara (mkristo), lakini alikuwa mwongofu mwislamu, wala hakuwa katika washirikina. Watu wanaomkaribia zaidi ibrahim ni wale waliomfuata yeye na nabii huyu na walioamini. Na mwenyezi mungu ndiye mlinzi wa waumini."

7.kusema "tutasamehewa."

mayahudi hawakukoma kumsingizia uwongo mwenyezi mungu mtukufu bali waliendelea nao ijapokuwa walionywa na kuonywa na kulaaniwa lakini wapi! Hawakusikia kwa ajili ya ukaidi wao na nyoyo zao zilivyokuwa ngumu hazisikii maneno ya mola mtukufu. Na uwongo wao mkubwa wa kujipa moyo ulikuwa wa kusema "mola atatusamehe," ingawa tutafanya madhambi na uuaji kwa sababu ati wao ni mayahudi na wao kama wanavyodai ni wana wa mungu hivyo hawawezi kuadhibiwa. Lakini mwenyezi mungu s.w.t. Aliukanusha uwongo wao huo na akawajibu ndani ya qurani katika suratil a`araaf aya ya 169,

"basi wakawaandamia nyuma yao (yaani baada ya wale mayahudi wazuri, mitume na wengineo, kikaja) kizazi kibaya waliorithi kitabu (cha mwenyezi mungu pasipo kukifuata wala kuzingatia yale yaliyowafika wabaya wao). Wakachukua vilivyokatazwa vya hapa ulimwenguni, na huku wanasema: "tutasamehewa." na kama vingine vya namna hii vikiwafikia pia wanavichukua…"

mwenyezi mungu s.w.t. Kabainisha vipi jinsi mtu anavyoweza kusamehewa madhambi yake si kusema tu kwa ulimi. Na pia akabainisha shuruti yake ambayo ndio toba. Kasema katika suratin nisaa aya ya 17 na ya 18,

"hakika toba inayokubaliwa na mwenyezi mungu ni ya wale wafanyao uovu kwa ujinga, kisha wakatubia kwa haraka. Hao ndio mwenyezi mungu huwakubalia toba yao, na mwenyezi mungu ni mjuzi na ni mwenye hekima. Wala hawana toba wale wafanyao maovu mpaka yakamfikia mmoja wao mauti, kisha hapo akasema: "hakika mimi sasa nimetubia." wala wale wanaokufa na hali wao ni makafiri. Hao tumewaandalia adhabu chungu."

na imaam nawawi kaelezea shuruti za toba kasema, "
wanavyuoni wamesema: "toba ni wajibu kwa kila dhambi. Ikiwa maasia baina ya mja na baina ya mwenyezi mungu mtukufu haihusiani na haki ya binadamu ina shuruti tatu; mojawapo: Kuacha kufanya maasi. Na pili: Kujuta kwa kufanya kile kitendo. Na tatu: Kuweka nia moyoni kwamba hutarudia tena kufanya dhambi hiyo. Ikiachwa mojawapo ya hizo tatu basi toba hiyo siyo sahihi."

8.kusema "hautatugusa moto ila kwa siku chache tu."

mayahudi walizidisha uwongo wao wakafikia hadi kusema kwamba moto wa jahannam hautawagusa ila siku chache tu hivi. Kama kwamba ndio mwenyezi mungu mtukufu aliwaahidi hivyo. Lakini allah s.w.t. Aliukadhibisha ule uwongo wao waliomsingizia. Kasema katika suratil baqarah aya ya 80,

"na walisema: Hautatugusa moto ila kwa siku chache tu. Sema: Mmechukua ahadi kwa mwenyezi mungu? Kweli mwenyezi mungu hatokwenda kinyume na ahadi yake. Au mnamsingizia mwenyezi mungu mambo msiyo yajua?"

pia kasema katika surat aali-`imraan aya ya 24,

"hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa moto isipokuwa kwa siku chache tu. Na yakawadanganya katika dini yao yale ambayo wenyewe waliyokuwa wakiyazua."

na katika hadithi iliyopokelewa na abu huraira r.a.a. Na iliyotolewa na l-bukhari kasema,

"hakika mtume s.a.w. Kawaambia mayahudi: "nani watu wa motoni?" wakajibu: "tutaingia kwa muda mchache." mtume s.a.w. Akasema: "tokomeeni humo! Naapa kwa mwenyezi mungu hatutakushughulikieni humo kabisa…"

kisha mwenyezi mungu s.w.t. Akawabainishia nani watu motoni na nani watu wa peponi. Kasema katika suratil baqarah aya ya 81 na ya 82,

"naam, anayechuma ubaya na makosa yake yakamzunguka hao ndio watu wa motoni; humo watadumu. Na wale walioamini na wakatenda mema, hao ndio watu wa peponi, humo watadumu."

9.kusema "hatoingia peponi isipokuwa mayahudi."

mayahudi waliendelea na uwongo wao wa kujipa moyo ingawa matamanio yao hayo hayakuwapatia faida yoyote ile isipokuwa kuwazidishia chuki na ghadhabu na laana ya mwenyezi mungu s.w.t.. Na hata walifikia kudai kwamba pepo ni makhsusi kwa ajili ya mayahudi tu. Hawezi mtu yeyote yule mwingine kuingia ila atakayefuata mila yao. Hawakujua kwamba maneno hayo yalikuwa ni kumzulia uwongo mola wa walimwengu wote. Na mwenyezi mungu s.w.t. Akawabainishia haki kwamba hayo wanayodai hayana dalili yote wala ushahidi wowote. Hayakuwa hayo ila ni matamanio yao waliyotamani katika nyoyo zao wapate lakini hawatopata kamwe, ila mpaka ngamia aingie kwenye tundu la sindano, nayo nimustahili. Kasema katika suratil baqarah aya ya 111,

"na walisema: "hataingia peponi ila aliyekuwa yahudi au mnasara (mkristo). Hayo ni matamanio yao. Sema: Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli."

mwenyezi mungu s.w.t. Aliendelea kuwajibu mayahudi ikiwa kweli wanayosema kwamba pepo ni makhsusi kwa ajili yao basi wajiombee mauti ili wafe na wapate kuingia peponi. Lakini wapi! Hakuna atakaejiombea, huo ni uwongo tu wa kutunga. Na sababu ya kutojiombea mauti ni kwa ajili mayahudi wamefanya madhambi mengi na wanaogopa kuadhibiwa adhabu kali inayowangoja huko akhera. Hivyo kuepukana nayo ndio maana wanatamani lau kama wangeliishi miaka elfu hapa duniani. Lakini hata hivyo kuishi kwa huko hakutawasaidia kitu. Kwa sababu hawataepukana na adhabu ya mola mtukufu na hata wakiishi zaidi watazidisha tu kuchuma madhambi zaidi. Hivyo adhabu yao pia itazidi. Kasema katika suratil baqarah tokeya aya ya 94 hadi 96,

"sema: Ikiwa nyumba ya akhera iliyoko kwa mwenyezi mungu ni yenu tu bila watu wengine, basi tamanini mauti kama nyinyi mnasema kweli. Wala hawatayatamani kamwe kwa sababu ya yale yaliyotangulizwa na mikono yao; na mwenyezi mungu ni mwenye kuwajua vyema wanaodhulumu. Na hakika utawaona ni wenye kuwashinda watu wote kwa pupa ya kuishi, na kuliko washirikina. Kila mmoja wao anatamani lau angelipewa umri wa miaka elfu. Wala hayo ya kuzidishiwa umri hayamuondoshei adhabu; na mwenyezi mungu anayaona wanayoyatenda."

mayahudi walikuwa ni watu wakipenda sana maisha ya dunia kwani walijua kwamba kuna adhabu kali inawangojea huko akhera kwa mwenyezi mungu mtukufu. Na wanaogopa kufa kwani walikufuru aya za mola mtukufu. Na hata kama wakijaribu kwa namna yoyote ile kuyakimbia mauti na kupenda maisha ya dunia, lakini mauti yenyewe yatamfuata kila mmoja wao mpaka pale pahala alipo kisha atafishwa na malaika wa mauti, na siku ya kiyama atasimamishwa mbele ya mwenyezi mungu s.w.t. Baadaye atahesabiwa kwa yale aliyomsingizia mola uwongo. Kama alivyosema mwenyezi mungu s.w.t. Katika suratil jumu`a aya ya 6 na ya 7,

"sema: "enyi mayahudi! Kama mnadai ya kuwa nyinyi (kweli) ni wapenzi wa mwenyezi mungu pasipokuwa watu wengine, basi yatamanini mauti (mwendezenu peponi kwa mwenyezi mungu), ikiwa mnasema kweli. Lakini wapi! Hawatayatamani kabisa kwa sababu ya yale iliyoyatanguliza mikono yao; na mwenyezi mungu anawajua madhalimu."

natamani october atembelee humu!
 
Success always attracts envy especially if you are more successful than your enemy. Poleni sana ambao mafanikio ya sisi "wayahudi weusi" inawauma. Labda mkitumia muda mwingi zaidi kufanya kazi na siyo kutu chukia nanyi mtakuja fika.
Hivi wewe unaona umefanikiwa sana ! ama hakika kuna watu mambo ya Dunia yanawadanganya ! Mwenyezi Mungu anasema wako watu waliofanikiwa zaidi ya yako wewe na walikua na kiburi kama cha kwako, lakini wako wapi ? mpaka leo watu hawajui formula ya mapiramidi yalijengwaje, hivyo wewe unaweza kujisifu ni Engineer kuliko watu wa wakati huo? hiyo ni changamoto ndogo tu kwako!

 
Kuna haja yetu Waafrika kurudi kwenye dini zetu ambazo wazungu walizzita za kishenzi.
Hizo pekee ndio zitaweza kurudisha umoja na mshikamano kati ya waislam na wakristo
 
natamani october atembelee humu!

Tatizo kubwa lililoko ni kwamba waarabu wanawaonea wivu wayahudi. Huu ndio ukweli na ndicho kinachojionyesha hapa JF, Kuna upande unaotetea wivu na uongo wa waarabu dhidi ya Wayahudi na kuna upande mwingine unaotaka kueleza ukweli wa mambo yalivyo. Kujua chanzo cha wivu wa waarabu kwa wayahudi soma hapa chini....

It began in Genesis 16 when YHWH (Yahweh) made His Covenant with Abraham's son Isaac, and in essence, sent the half-brother Ishmael on his merry way to become "a geat nation" (the present day Arabs, most of whom are Muslim). In Genesis 16:13-16 (years before Abraham's second son Isaac was born) the Angel of the Lord told Abraham's servant Hagar that her son Ishmael would be "...a wild donkey of a man, His hand will be against everyone, and everyone's hand will be against him; and he will live to the east of all his brothers."

Genesis 17: 18 And Abraham said to God, "Oh that Ishmael might live before You!" 19 But God said, "No, but Sarah your wife will bear you a son, and you shall call his name Isaac; and I will establish My covenant with him for an everlasting covenant for his descendants after him. 20 As for Ishmael, I have heard you; behold, I will bless him, and will make him fruitful and will multiply him exceedingly. He shall become the father of twelve princes, and I will make him a great nation. 21 But My covenant I will establish with Isaac, whom Sarah will bear to you at this season next year."

Conflict between the two sons of Abraham began from the very start. Genesis 21:9 says the conflict began just after Isaac was weaned: "Now Sarah saw the son of Hagar the Egyptian, whom she had borne to Abraham, mocking."

Galatians 4 tells us that Ishmael had been "born according to the flesh" while Isaac had been "born according to the promise". Isaac replaced Ishmael as the favored son and heir. This, of course, made Ishmael jealous and bitter. As a result, he mocked and disdained his half-brother. Eventually the situation became so intolerable that Abraham's wife Sarah demanded that Ishmael and his Egyptian concubine mother, Hagar, be expelled permanently from Abraham's family.

But YHWH loved Hagar and her son, and had mercy upon them. He promised Hagar that her son would beget twelve princes who would become a great nation. Ishmael then went to live in the wilderness region of Hejaz in what became known as the Arabian Peninsula. He indeed had twelve patriarchal sons who became associated with the peoples known as Midianites, Edomites, Egyptians and Assyrians. The Bible and Islamic tradition both agree that Ishmael became the leader of all the great desert peoples of the Middle East.

YHWH provided many opportunities in this story for redemption of bad situations created mostly out of disobedience and lack of faith. Abraham had agreed to impregnate Hagar at the request of his wife Sarah, even though God had told Abraham and Sarah that they would one day have their own son. To be fair to Ishmael, God provided him a great kingdom of his own "to the east" of his brother, but it was never enough. Ishmael's descendants have always been jealous that Isaac's descendants were able to claim the full inheritance of Abraham.

This jealousy and resentment created an unparalleled hate which has set off wars and atrocities for four thousand years. It was the title deed to the land of Israel, which God promised to Abraham's lineage, that has been the source of the friction between the Jews and the Arabs right up to the present day.

Muslims believe the Jews changed and distorted the Bible in order to establish themselves as the heirs of Abraham's Covenant blessings. However, they fail to explain how the New Testament clearly teaches that the Covenant was made with Isaac and his descendants.

According to Islamic tradition, Abraham had eight sons rather than two who were reared in Mecca, not Hebron. They insist it was Ishmael, not Isaac, whom Abraham was about to sacrifice on Mount Moriah when an angel stopped him. According to the Koran, the Abrahamic covenant, with its promises - including the title deed to the land of Israel - was passed down to the Arabs through Ishmael, rather than to the Jews through Isaac.

If one believes that the Old and New Testaments were written under the inspiration of the Spirit of God, then there is no question that Israel is the Promised Land of the Jews. God's words to Abraham in Genesis are some 2,500 years older than the creation of Islam (whose "prophet" Mohammed was a murdering, thieving pedophile who "married" a seven year old child - but that's another story).

The bottom line is, YHWH fulfilled His promise to Abraham, Isaac, and Ishmael. And He is about to use the consequential warfare between the two brothers in order to bring about His "end time" scenario....

Source click here
 
Jamani tafadhali waacheni kabisa wayahudi. Matusi kati ya wakristo na waislamu yameanza muda mrefu sana. Mihadhara ya kidini iliyojaa matusi na kashfa dhidi ya dini zingine imeanza toka miaka ya 1990 na chanzo ni waarabu na wala si wayahudi. Mtapata laana na msijue jinsi ya kujisafisha na laana hiyo.

hawa ndo walewale,sasa mtu hiyo laana utaipataje kwa kusema ukweli hata kama unawahusu wayahudi? au unazani wao wanahaki ya kuwafanyia mauaji binadamu wenzao,au ndo utumwa wa fikra huu! inasikitisha kweli mtu kutoshirikisha ubongo wake hata kwa chembe!
 
MAYAHUDI KUMZULIA UWONGO MWENYZI MUNGU.

Mwenyezi Mungu S.W.T. alichukua ahadi kwa Mayahudi ili kusudi wasimzulie uwongo Mola wao na wasiseme ila ya haki. Lakini wao walikwenda kinyume na kuvunja zile ahadi. Wakamzulia uwongo Allah S.W.T.. Na hapa chini nitaeleza moja baada ya moja yale mambo waliyomzulia uwongo Mwenyezi Mungu S.W.T. kutoka ndani ya Qurani kama ifuatavyo:-

1.KUBADILI MANENO YA MWENYEZI MUNGU S.W.T..


Kundi la Mayahudi lilimsingizia uwongo Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa kuyabadili maneno yale yaliyoteremshwa kutoka kwa Mola wao kisha wakadai kuwa maneno hayo waliyoyabadili ni maneno yaliyoteremshwa katika Kitabu cha Taurati na hali walikuwa wakijua kwamba si kutoka katika Taurati wala si maneno ya Mwenyezi Mungu S.W.T.. Ndio maana Allah S.W.T. akawafedhehesha ndani ya Qurani tukufu katika Surat Aali-`Imraan aya ya 78,

"Na wapo baadhi yao wanaopindua ndimi zao katika kusoma Kitabu ili mdhanie kuwa hayo yanatoka Kitabuni, na wala hayatoki Kitabuni. Na husema: "Haya yametoka kwa Mwenyezi Mungu. Na wala hayatoki kwa Mwenyezi Mungu. Na wanamsingizia Mwenyezi Mungu uwongo na wao wanajua."

2.KUHARAMISHA NYAMA YA NGAMIA.

Mayahudi walimsingizia uwongo Mwenyezi Mungu S.W.T. kwamba amewateremshia sheria ya kuharamishwa kula nyama ya ngamia baada ya Nabii Ya`aquub kujiharamishia yeye mwenyewe nyama ya ngamia na tokeo hilo lilikuwa kabla ya kuteremshwa Taurati. Ndio maana Mola S.W.T. akawajibu ndani ya Qurani tukufu katika Surat Aali-`Imraan aya ya 93,

"Kila chakula kilikuwa halali kwa Wana wa Israili isipokuwa kile alichojiharamishia Israili (Nabii Ya`aquub) mwenyewe kabla haijateremshwa Taurati. Sema: "Leteni Taurati muisome ikiwa nyinyi ni wasema kweli."

Na katika Hadithi iliyopokelewa na Ibn Abbaas R.A.A. na kutolewa na Ibn Kathiir inathibitisha uwongo wa Mayahudi. Ibn Abbaas kasema,

"Alipopata (Nabii) Ya`aquub maradhi ya mshipa, matabibu walimshauri ajizue kula nyama ya ngamia. Akajiharamishia yeye mwenyewe. Mayahudi wakasema: "Kwa hakika tujiharamishie sisi wenyewe nyama ya ngamia. Kwa sababu (Nabii) Ya`aquub kaiharamisha. Mwenyezi Mungu akateremsha kuharamishwa kwake katika Taurati. Mola akashusha hii aya Kila chakula kilikuwa halali kwa Wana wa Israili isipokuwa kile alichojiharamishia Israili (Nabii Ya`aquub) mwenyewe kabla haijateremshwa Taurati… "

Pia Hadithi iliyopokelewa na Ibn Abbas R.A.A. na kutolewa na Ahmad kasema,

"Walihudhuria jamaa miongoni mwa Mayahudi kwa Mtume S.A.W.. Wakasema: "Ewe Aba Qaasim! Tuhadithie mambo tutakayokuuliza hamna ayajuaye ila Nabii." Akajibu: "Niulizeni mnavyotaka." Wakasema: "Tuambie kutokana na mambo manne: "Tuambie chakula gani alichojiharamishia Israil (Nabii Ya`aquub) mwenyewe kabla ya kuteremshwa Taurati? Akajibu: "Nitakuulizeni kwa kiapo cha Mola Ambaye aliiteremsha Taurati kwa (Nabii) Musa jee, mnajua kwa hakika Nabii Ya`aquub A.S. aliugua maradhi makali ukaendelea ugonjwa wake kwa muda mrefu. Akaweka nadhiri kwa Mwenyezi Mungu ikiwa Mwenyezi Mungu atamponesha kutokana na maradhi yake atajiharamishia kinywaji akipendacho, na chakula akipendacho. Na kilikuwa chakula akipendacho ni nyama ya ngamia na kinywaji akipendacho maziwa yake. Wakasema: "Ndiyo."

3.KUDAI KUWA WAO WAMETAKASIKA.

Mayahudi walimtungia uwongo Mwenyezi Mungu S.W.T. walipodai kwamba ati nafsi zao zimetakasika na ni makhsusi kwa ajili yao peke yao bila watu wengine. Na wakadai kwamba Mola Mtukufu Ndiye aliyewafanya watakasike wao tu. Kwa sababu hiyo ndio maana Mwenyezi Mungu S.W.T. akawalaumu ndani ya Qurani katika Suratin Nisaa aya ya 49 na ya 50,

"Jee! Huwaoni wale wanaodai kuwa ati wametakasika? Bali Mwenyezi Mungu humtakasa amtakaye. Na hawatadhulumiwa hata kadiri ya kijiuzi kilichomo ndani ya uwazi wa kokwa ya tende. Tazama vipi wanavyomzulia uwongo Mwenyezi Mungu, na haya yatosha kuwa dhambi iliyo dhahiri."

Mayahudi hawakuwa wakijua kwamba Mola Mtukufu anajua na anaona na kusikia yote yale waliyokuwa wakimsingizia uwongo, na wala hawakujua kuwa Yeye Ndiye anayezitakasa nafsi za waja wema si za watu waovu. Ndio maana Mwenyezi Mungu S.W.T. amekataza kujisifu au kusema nafsi yangu imetakasika. Kasema katika Suratin Najm aya ya 32,

"…Yeye (Mwenyezi Mungu) Ndiye anayekujueni sana tangu alipokuumbeni katika ardhi, na mlipokuwa mimba matumboni mwa mama zenu. Basi msizitakase (msizisifu) nafsi zenu; Yeye anamjua sana (mmoja mmoja) aliyetakasika (na asiyetakasika)."

Na katika Hadithi iliyotolewa na Muslim, Mtume S.A.W. kasema,

"Mkiwaona wanaojisifu jazeni (fumbata) viganja vya mikono yenu mchanga kisha wamwagieni katika nyuso zao."

4.KUSEMA "SISI NI WANA WA MUNGU NA TUPENDWAO."

Mayahudi walidai kwamba wao ni wana wa Mungu na awapendao. Lakini Mwenyezi Mungu S.W.T. aliwakadhibisha ndani ya Qurani tukufu madai yao hayo ya uwongo, kasema katika Suratil Maaida aya ya 18,

"Na Mayahudi na Manasara (Wakristo) wanasema: "Sisi ni wana wa Mwenyezi Mungu na wapenzi Wake." Sema: "Basi kwa nini anakuadhibuni kwa ajili ya dhambi zenu?" Bali nyinyi ni watu (tu) kama wale (watu) wengine aliowaumba. Humghufiria (humsamehe) amtakaye (anapotubia) na humuadhibu amtakaye (asipotubia)…"

Na pia Hadithi iliyopokelewa na Ibn Abbaas R.A.A. na kutolewa na Ibn Kathiir kasema,

"Mtume S.A.W. alijiwa na No`umaan bin Aasaa na Bahar bin `Amrou na Shaas bin `Adai wakamsemeza. Na Mtume S.A.W. akawasemeza na akawaita katika (dini ya) Mwenyezi Mungu. Akawahadharisha adhabu Yake. Wakamjibu: "Usituogopesha ewe Muhammad! Sisi tunakuapia kwa Mwenyezi Mungu ni wana wa Mungu na vipenzi Vyake." Mwenyezi Mungu akateremsha hiyo aya ya 18 ya Suratil Maaida Na Mayahudi na Manasara (Wakristo) wanasema: "Sisi ni wana wa Mwenyezi Mungu na wapenzi Wake.

5.KUSEMA "SISI HATULAUMIWI KWA AJILI YA WAJINGA."

Mayahudi walimtungia uwongo Mwenyezi Mungu S.W.T. kwa kusema kwamba wao hawalaumiwi kabisa ikiwa watadhulumu mali ya mtu asiyekuwa Myahudi au aliyekuwa tofauti na dini yao. Na Mola akawafedhehesha ndani ya Qurani kwa uwongo wao huo wa kutunga wao wenyewe. Kasema katika Surat Aali-`Imraan aya ya 75,

"Na miongoni mwa watu wa Kitabu yupo ambaye ukimpa amana ya mrundi wa mali atakurudishia, na miongoni mwao yupo ambaye ukimpa amana ya dinari moja hakurudishii isipokuwa ukimsimamia kumdai. Haya ni kwa kuwa wakisema: "Hatuna lawama kwa ajili ya hawa wasiojua kusoma." Na wanamzulia uwongo Mwenyezi Mungu, hali nao wanajua."


6.KUSEMA "KUWENI MAYAHUDI MTAONGOKA."

Mayahudi walizidisha uwongo wao wa kumtungia Mwenyezi Mungu Mtukufu kwamba kawafanya wao makhsusi peke yao kuwa wameongoka. Lakini watu wote waliobaki hawakuongoka. Mfano ikiwa mtu ni Mwislamu lakini si Myahudi basi mtu yule ni kafiri. Lakini Allah S.W.T. aliwajibu ndani ya Qurani kuwa "Muongofu na Muumin ni yule mwenye kufuata Mila ya Nabii Ibrahim." Kasema katika Suratil Baqarah aya ya 135,

"Na wakasema: Kuweni Mayahudi au Wakristo ndio mtaongoka. Sema: "Bali tunashika mila ya Ibrahim mwongofu, wala hakuwa katika washirikina."

Mayahudi walidai kwamba Nabii Ibrahim alikuwa Yahudi kama vile Manasara (Wakristo) nao walivyodai kuwa alikuwa ni Mnasara (Mkristo). Lakini Mola S.W.T. alikanusha madai yao hayo kwani wakati wake Nabii Ibrahim ulikuwa kabla ya kuteremshwa Taurati. Sasa vipi atakuwa Yahudi? Ndio maana Mwenyezi Mungu S.W.T. aliwajibu katika Surat Aali-`Imraan aya ya 65 na ya 66,

"Enyi watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim, na hali Taurati na Injili hazikuteremshwa ila baada yake? Basi hamzingatii? Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyoyajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyoyajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui."
Na Hadithi iliyopokelewa na Ibn Abbaas R.A.A. na kutolewa na Ibn Kathiir kasema, "

"Walikusanyika pamoja Manasara (Wakristo) wa Najraan na Wanavyuoni wa Kiyahudi kwa Mtume S.A.W. wakabishana kwake, Wanavyuoni wa Kiyahudi wakasema: "Nabii Ibrahim hakuwa ila Yahudi." Na Manasara (Wakristo) wakasema: "Nabii Ibrahim hakuwa ila Mnasara (Mkristo)." Ndipo hapo Mwenyezi Mungu S.W.T. akateremsha Enyi watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim…"

Kisha Mwenyezi Mungu S.W.T. aliwabainishia kauli ya haki kuhusu Nabii Ibrahim kuwa yeye hakuwa Myahudi wala Mnasara (Mkristo) bali alikuwa Mwislamu aliyeongoka na wala hakuwa katika washirikina (wanaoabudu masanamu). Kasema katika Surat Aali-`Imraan aya ya 67 na ya 68,

"Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mnasara (Mkristo), lakini alikuwa mwongofu Mwislamu, wala hakuwa katika washirikina. Watu wanaomkaribia zaidi Ibrahim ni wale waliomfuata yeye na Nabii huyu na walioamini. Na Mwenyezi Mungu Ndiye Mlinzi wa Waumini."

7.KUSEMA "TUTASAMEHEWA."

Mayahudi hawakukoma kumsingizia uwongo Mwenyezi Mungu Mtukufu bali waliendelea nao ijapokuwa walionywa na kuonywa na kulaaniwa lakini wapi! Hawakusikia kwa ajili ya ukaidi wao na nyoyo zao zilivyokuwa ngumu hazisikii maneno ya Mola Mtukufu. Na uwongo wao mkubwa wa kujipa moyo ulikuwa wa kusema "Mola atatusamehe," ingawa tutafanya madhambi na uuaji kwa sababu ati wao ni Mayahudi na wao kama wanavyodai ni wana wa Mungu hivyo hawawezi kuadhibiwa. Lakini Mwenyezi Mungu S.W.T. aliukanusha uwongo wao huo na akawajibu ndani ya Qurani katika Suratil A`araaf aya ya 169,

"Basi wakawaandamia nyuma yao (yaani baada ya wale Mayahudi wazuri, Mitume na wengineo, kikaja) kizazi kibaya waliorithi Kitabu (cha Mwenyezi Mungu pasipo kukifuata wala kuzingatia yale yaliyowafika wabaya wao). Wakachukua vilivyokatazwa vya hapa ulimwenguni, na huku wanasema: "Tutasamehewa." Na kama vingine vya namna hii vikiwafikia pia wanavichukua…"

Mwenyezi Mungu S.W.T. kabainisha vipi jinsi mtu anavyoweza kusamehewa madhambi yake si kusema tu kwa ulimi. Na pia akabainisha shuruti yake ambayo ndio toba. Kasema katika Suratin Nisaa aya ya 17 na ya 18,

"Hakika toba inayokubaliwa na Mwenyezi Mungu ni ya wale wafanyao uovu kwa ujinga, kisha wakatubia kwa haraka. Hao ndio Mwenyezi Mungu huwakubalia toba yao, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na ni Mwenye hekima. Wala hawana toba wale wafanyao maovu mpaka yakamfikia mmoja wao mauti, kisha hapo akasema: "Hakika mimi sasa nimetubia." Wala wale wanaokufa na hali wao ni makafiri. Hao tumewaandalia adhabu chungu."

Na Imaam Nawawi kaelezea shuruti za toba kasema, "
Wanavyuoni wamesema: "Toba ni wajibu kwa kila dhambi. Ikiwa maasia baina ya mja na baina ya Mwenyezi Mungu Mtukufu haihusiani na haki ya binadamu ina shuruti tatu; mojawapo: Kuacha kufanya maasi. Na pili: Kujuta kwa kufanya kile kitendo. Na tatu: Kuweka nia moyoni kwamba hutarudia tena kufanya dhambi hiyo. Ikiachwa mojawapo ya hizo tatu basi toba hiyo siyo sahihi."

8.KUSEMA "HAUTATUGUSA MOTO ILA KWA SIKU CHACHE TU."

Mayahudi walizidisha uwongo wao wakafikia hadi kusema kwamba Moto wa Jahannam hautawagusa ila siku chache tu hivi. Kama kwamba ndio Mwenyezi Mungu Mtukufu aliwaahidi hivyo. Lakini Allah S.W.T. aliukadhibisha ule uwongo wao waliomsingizia. Kasema katika Suratil Baqarah aya ya 80,

"Na walisema: Hautatugusa Moto ila kwa siku chache tu. Sema: Mmechukua ahadi kwa Mwenyezi Mungu? Kweli Mwenyezi Mungu hatokwenda kinyume na ahadi yake. Au mnamsingizia Mwenyezi Mungu mambo msiyo yajua?"

Pia kasema katika Surat Aali-`Imraan aya ya 24,

"Hayo ni kwa sababu walisema: Hautatugusa Moto isipokuwa kwa siku chache tu. Na yakawadanganya katika dini yao yale ambayo wenyewe waliyokuwa wakiyazua."

Na katika Hadithi iliyopokelewa na Abu Huraira R.A.A. na iliyotolewa na L-Bukhari kasema,

"Hakika Mtume S.A.W. kawaambia Mayahudi: "Nani watu wa Motoni?" Wakajibu: "Tutaingia kwa muda mchache." Mtume S.A.W. akasema: "Tokomeeni humo! Naapa kwa Mwenyezi Mungu hatutakushughulikieni humo kabisa…"

Kisha Mwenyezi Mungu S.W.T. akawabainishia nani watu Motoni na nani watu wa Peponi. Kasema katika Suratil Baqarah aya ya 81 na ya 82,

"Naam, anayechuma ubaya na makosa yake yakamzunguka hao ndio watu wa Motoni; humo watadumu. Na wale walioamini na wakatenda mema, hao ndio watu wa Peponi, humo watadumu."

9.KUSEMA "HATOINGIA PEPONI ISIPOKUWA MAYAHUDI."

Mayahudi waliendelea na uwongo wao wa kujipa moyo ingawa matamanio yao hayo hayakuwapatia faida yoyote ile isipokuwa kuwazidishia chuki na ghadhabu na laana ya Mwenyezi Mungu S.W.T.. Na hata walifikia kudai kwamba Pepo ni makhsusi kwa ajili ya Mayahudi tu. Hawezi mtu yeyote yule mwingine kuingia ila atakayefuata mila yao. Hawakujua kwamba maneno hayo yalikuwa ni kumzulia uwongo Mola wa walimwengu wote. Na Mwenyezi Mungu S.W.T. akawabainishia haki kwamba hayo wanayodai hayana dalili yote wala ushahidi wowote. Hayakuwa hayo ila ni matamanio yao waliyotamani katika nyoyo zao wapate lakini hawatopata kamwe, ila mpaka ngamia aingie kwenye tundu la sindano, nayo nimustahili. Kasema katika Suratil Baqarah aya ya 111,

"Na walisema: "Hataingia Peponi ila aliyekuwa Yahudi au Mnasara (Mkristo). Hayo ni matamanio yao. Sema: Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli."

Mwenyezi Mungu S.W.T. aliendelea kuwajibu Mayahudi ikiwa kweli wanayosema kwamba Pepo ni makhsusi kwa ajili yao basi wajiombee mauti ili wafe na wapate kuingia Peponi. Lakini wapi! Hakuna atakaejiombea, huo ni uwongo tu wa kutunga. Na sababu ya kutojiombea mauti ni kwa ajili Mayahudi wamefanya madhambi mengi na wanaogopa kuadhibiwa adhabu kali inayowangoja huko Akhera. Hivyo kuepukana nayo ndio maana wanatamani lau kama wangeliishi miaka elfu hapa duniani. Lakini hata hivyo kuishi kwa huko hakutawasaidia kitu. Kwa sababu hawataepukana na adhabu ya Mola Mtukufu na hata wakiishi zaidi watazidisha tu kuchuma madhambi zaidi. Hivyo adhabu yao pia itazidi. Kasema katika Suratil Baqarah tokeya aya ya 94 hadi 96,

"Sema: Ikiwa nyumba ya Akhera iliyoko kwa Mwenyezi Mungu ni yenu tu bila watu wengine, basi tamanini mauti kama nyinyi mnasema kweli. Wala hawatayatamani kamwe kwa sababu ya yale yaliyotangulizwa na mikono yao; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwajua vyema wanaodhulumu. Na hakika utawaona ni wenye kuwashinda watu wote kwa pupa ya kuishi, na kuliko washirikina. Kila mmoja wao anatamani lau angelipewa umri wa miaka elfu. Wala hayo ya kuzidishiwa umri hayamuondoshei adhabu; na Mwenyezi Mungu anayaona wanayoyatenda."

Mayahudi walikuwa ni watu wakipenda sana maisha ya dunia kwani walijua kwamba kuna adhabu kali inawangojea huko Akhera kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu. Na wanaogopa kufa kwani walikufuru aya za Mola Mtukufu. Na hata kama wakijaribu kwa namna yoyote ile kuyakimbia mauti na kupenda maisha ya dunia, lakini mauti yenyewe yatamfuata kila mmoja wao mpaka pale pahala alipo kisha atafishwa na Malaika wa Mauti, na siku ya Kiyama atasimamishwa mbele ya Mwenyezi Mungu S.W.T. baadaye atahesabiwa kwa yale aliyomsingizia Mola uwongo. Kama alivyosema Mwenyezi Mungu S.W.T. katika Suratil Jumu`a aya ya 6 na ya 7,

"Sema: "Enyi Mayahudi! Kama mnadai ya kuwa nyinyi (kweli) ni wapenzi wa Mwenyezi Mungu pasipokuwa watu wengine, basi yatamanini mauti (mwendezenu Peponi kwa Mwenyezi Mungu), ikiwa mnasema kweli. Lakini wapi! Hawatayatamani kabisa kwa sababu ya yale iliyoyatanguliza mikono yao; na Mwenyezi Mungu anawajua madhalimu."

Kaazi ipo hapa kwa makafiri weusi wa kiarabu.
 
Back
Top Bottom