Grader
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 445
- 64
Katika michuano inayoendelea kule kwa baba Mandela,mimi ni mfuatiliaji na mshabiki mkubwa wa mpira hasa kwa timu inayocheza mpira mzuri na kamwe sina uzalendo na klabu,dini,kabila wala nchi hata bara.
Je Maximo anajifunza nini kuhusu kinachoendelea kule south Africa kwani unaona utovu wa nidhamu uliofanywa na Misri hasa wachezaji wake kuvinjali na Vimwana wakati ni mwiko mkubwa wa soka ukiwa kambini.
vilevile Maximo asitumalizie pesa za Rais wetu akiwa anajenga cv mbovu kupita kiasi. Nina maswali mengi kwake;
1.Mbona cv yake iwe wazi kwani perfomance yake inashuka mpaka sas naona bora timu akapewa Mziray.
2.Mbona mikakati yake siyo endelevu.
3.Halafu mbona analeta ukabila na uzalendo kuwaleta nchini wabrazili wenzake kufanya kazi bila kujali cv's zao nzuri.
4.Mbona anabadilisha badlisha timu kila mara bira kujali uchezaji hebu ajifunze kutoka south Africa timu yao inavyojengwa.
Je Maximo anajifunza nini kuhusu kinachoendelea kule south Africa kwani unaona utovu wa nidhamu uliofanywa na Misri hasa wachezaji wake kuvinjali na Vimwana wakati ni mwiko mkubwa wa soka ukiwa kambini.
vilevile Maximo asitumalizie pesa za Rais wetu akiwa anajenga cv mbovu kupita kiasi. Nina maswali mengi kwake;
1.Mbona cv yake iwe wazi kwani perfomance yake inashuka mpaka sas naona bora timu akapewa Mziray.
2.Mbona mikakati yake siyo endelevu.
3.Halafu mbona analeta ukabila na uzalendo kuwaleta nchini wabrazili wenzake kufanya kazi bila kujali cv's zao nzuri.
4.Mbona anabadilisha badlisha timu kila mara bira kujali uchezaji hebu ajifunze kutoka south Africa timu yao inavyojengwa.