Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,200
- 79,433
Ni zaidi ya miaka mitatu kocha huyu wa Kibrazil anaendeleza ubabaishaji najua anaweza kudai ati wachezaji wanakosa professionalism lakini hiyo si sababu kwa vile Uganda imeshinda kikombe hiki cha Cecafa Challenge kwa kutumia wachezaji wanaochezea ligi ya Tanzania! Hii inamaanisha ana wachezaji wenye viwango vya kutosha wakiwemo wanaowaweka benchi hawa wachezaji wa Kiganda kwenye ligi ya bara!
Suala ni kuwa Maximo hana ujuzi zaidi ya alipotufikisha tunahitaji mawazo mengine kuinua soka letu maana huyu baba inaelekea anabahatisha na pata potea yake!
Suala ni kuwa Maximo hana ujuzi zaidi ya alipotufikisha tunahitaji mawazo mengine kuinua soka letu maana huyu baba inaelekea anabahatisha na pata potea yake!