Kwanza kabisa natoa pongezi zangu za dhati kwa muheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Tanzania kwa kufanya maamuzi yha busara ya kumuongezea Maximo mkataba mpya wa mwaka mmoja.I think he is well deserve so far ameibadilisha sana timu yetu ya taifa mbali na mizengwe mingi isiyo na msingi anayokumbana nayo katika jitihada zake kikazi.Amethibitisha kuwa anatufahamu vilivyo tabia za wachezaji wa nchi yetu na I believe amedetermine kubadilisha namna soka linavyoendeshwa Tanzania.Matokeo na faida za mafunzo ya Maximo yatachukua muda kuonekana hususan kwa wachezaji wetu kwa kuwa wamezoea kudekezwa.Again Hongera muheshimiwa Rais.
SAHIBA.
SAHIBA.