Big up moderators ole wao wanaodharau maoni yetu na kutuita wahuni huku wakiuza nchi yetu kwa wawezekaji.
JF ndio mahali pekee pa kutolea madukuduku yetu,sisi wengine ni wanyonge hatuna uwezo wa kushawishi magazeti na vyombo vingine vya habari waandike malalamiko yetu ,lkn hapa tupo huru.
Mfano ni jambo la kushangaza kuona kuwa deni la taifa linapanda mara mbili kwa mwaka mmoja bila maendeleo yoyote kuonekana alafu tumsikilize mchemba na upuuzi wa takwimu.
Watanzania sasa tunauelewa mkubwa wa mambo kuliko miaka 5 nyuma, tunaona namna ambavyo watawala wanataka kulazimisha wapendwe wakati sisi tunashinda njaa wao wanakopa fedha badala ya kuzitumia kwa maendeleo wanatanulia kwenye posho na safari za nje kila wiki.
Long live JF tutasema ukweli bila kumuonea aibu mtu wala kumuogopa Tanzania ni yetu sote na yao
JF ndio mahali pekee pa kutolea madukuduku yetu,sisi wengine ni wanyonge hatuna uwezo wa kushawishi magazeti na vyombo vingine vya habari waandike malalamiko yetu ,lkn hapa tupo huru.
Mfano ni jambo la kushangaza kuona kuwa deni la taifa linapanda mara mbili kwa mwaka mmoja bila maendeleo yoyote kuonekana alafu tumsikilize mchemba na upuuzi wa takwimu.
Watanzania sasa tunauelewa mkubwa wa mambo kuliko miaka 5 nyuma, tunaona namna ambavyo watawala wanataka kulazimisha wapendwe wakati sisi tunashinda njaa wao wanakopa fedha badala ya kuzitumia kwa maendeleo wanatanulia kwenye posho na safari za nje kila wiki.
Long live JF tutasema ukweli bila kumuonea aibu mtu wala kumuogopa Tanzania ni yetu sote na yao