Huyu Bahati Chande ndio wa Redd's Miss Ilala 2010?
Maxence hahahaha hizi ni dalili tosha za infidelity whatch out & in.
Hivi ukiwa mrembo lazima ukenue meno?
dah... Max tartiiibu kama Lundenga vile ound:
Unatafuta vita na Max?
keshamaliza usaili siku nyingi aiseeYeah yeah yeah usahili anafanyia wapi?