BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
Naona amefanya editing kwenye bandiko lake...Isome kinyume nyume!
Unacontact labda anaweza pata kifuta jasho!
Kamanda NN nahitaji comment yako kuhusu ushindi wa Nelly Kimwelu.Huyo Bahati Chande huyo......hahahahaaaaa haya bana. Kumbe ndo wewe.....tih tih tih
ha ha ha ha sikutajii hata jina mazee.mwenyewe namnyemelea.usije nizidia kete bure!!
Huyu mama Sarungi huwa namwamini miaka yote lakini mwaka huu kachemsha,huyu Nelly ana maskendo kibao na haishi kuandikwa kwenye magazeti kwa habari mbaya toka ashiriki miss Tanzania miaka 2 ilopita baadhi yakiwa umalaya,usagaji.ulevi wa kupindukia,picha za ngono e.t.c mwaka huu tunalo.
Hahahaha kizuri kula na nduguyo.....nipe jina nimadd face book
Hahaha! Masa hiyo kitu haina undugu wala urafiki ni full uadui tu.Hahahaha kizuri kula na nduguyo.....nipe jina nimadd face book
Mi sina tatizo na rangi lakini maadili ya washindani tusije pata Wema mwingine lol!mkuu hata wa mwaka jana naye ni kama chotara fulani hivi.ndiyo maana najiuliza,kulikoni huko miis universe?mshindi lazima awe .5?haya kumbe huyu mtoto ana maskandali tayari,duh
Dah! mkuu humtaki Masa mema kabisa Shyrose atamtafuna na kumtema kama big G lol!anaitwa shyrose banji,mu add.siyo shyrose wa NMB,ni majina tu yamefanana mkuu!!
Max Kama ulikuwa judge naomba namba ya mshindi wa pili....nata mfanyia mipango ya modelling....
Naona amefanya editing kwenye bandiko lake...
Dah! mkuu humtaki Masa mema kabisa Shyrose atamtafuna na kumtema kama big G lol!
Mkuu wewe endelea a kazi ya kuchunga kondoo, angalia usije anguka majaribuni. tuache sisi wenye dhambi tuendelee kumfariji shetani.
Napenda jichanganya na wenye FHA bi ili niwaokoe!
Vipi mning'inio umepungua? Nikupitishie ile thupu?
Multivitamin, maziwa mtindi, supu na lita 3 za maji! Hangover kwisha...::.thanks for asking and njoo nayo
Big up kwa sana Kaka Max! Shemeji mbona simuoni?