Sultan Kipingo
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 236
- 175
Habari wakuu,
nimekuwa nikisikia matangazo kuhusu mashine za max malipo zakampuni ya Maxcom (T) Ltd, Lakinisielewi bado ufanyaji wake wa kazi hasa suala la huduma za kifedha kama vile mpesa, tigo pesa n.k
hivi ukiwa na hiyo mashine je bado kuna shida ya kutafuta laini (sim card) ya uwakala au inakuaje?
Pia kama kuna mtu anafahamu ufanyaji wa kazi nyingine za mashine hii anitoe ushamba tafadhali.
Nawasilisha
nimekuwa nikisikia matangazo kuhusu mashine za max malipo zakampuni ya Maxcom (T) Ltd, Lakinisielewi bado ufanyaji wake wa kazi hasa suala la huduma za kifedha kama vile mpesa, tigo pesa n.k
hivi ukiwa na hiyo mashine je bado kuna shida ya kutafuta laini (sim card) ya uwakala au inakuaje?
Pia kama kuna mtu anafahamu ufanyaji wa kazi nyingine za mashine hii anitoe ushamba tafadhali.
Nawasilisha