The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
nilkuwa napita-pita karibu na kibanda cha chips. pana ka-TV kadogo kama inchi 17 hivi. mara nikaskia mtu anaongea kwa madaha ati "serikali iliyoko madarakani imejaa watu wazalendo wa kweli na waadilifu. nilipocheki vizuri nikagundua kuwa kilikuwa ni kipindi cha bunge na aliyekuwa akijinasibu si mwingine bali ni bwana mmoja kwa jina maarufu mawe ma-three.
my take:
naomba kuelekezwa, labda sielewi. hivi mtu akiteuliwa kuwa waziri au naibu waziri ndiyo anakuwa mzalendo wa kweli na muadilifu....
jamani. mawe ma-three mwaka 2005 alitumia mamilioni ya shilingi kutaka kununua ubunge wa jimbo lake kutoka kwa wapiga kura, lakini akapigwa chini. uchaguzi uliopita ndo kabisa alikuwa amejiandaa kwa mtindo wa ama zake ama zangu ndiyo kashinda ubunge. jamani eeh, hivi uadilifu na uzalendo huwa unapimwa vipi?
mawe ma-three ni sawa na ka-Rostam kadogo ndani ya serekelai ya mtu wa bagamoyo.
mawe ma-three acha kutupiga changa-la macho maana uadilifu wako unatia shaka kubwa.
my take:
naomba kuelekezwa, labda sielewi. hivi mtu akiteuliwa kuwa waziri au naibu waziri ndiyo anakuwa mzalendo wa kweli na muadilifu....
jamani. mawe ma-three mwaka 2005 alitumia mamilioni ya shilingi kutaka kununua ubunge wa jimbo lake kutoka kwa wapiga kura, lakini akapigwa chini. uchaguzi uliopita ndo kabisa alikuwa amejiandaa kwa mtindo wa ama zake ama zangu ndiyo kashinda ubunge. jamani eeh, hivi uadilifu na uzalendo huwa unapimwa vipi?
mawe ma-three ni sawa na ka-Rostam kadogo ndani ya serekelai ya mtu wa bagamoyo.
mawe ma-three acha kutupiga changa-la macho maana uadilifu wako unatia shaka kubwa.