change we need
Member
- Aug 10, 2011
- 81
- 9
ili inchi iwe na ustawi mzuri inahitaji siasa safi! Sawa lakini pamoja na hilo naona kama siasa inachukua ndio inachukua sehemu kubwa ya mawazo ya watu wengi mara uchaguzi ujao 2015, mara uchaguzi huu mara kiongozi huyu mambo ya kufanya yapo mengi nchi ili kujiletea maendeleo..my take!tunatakiwa kama jamii tujadiliane na kuibua mambo mengi zaidi ambayo yanaweza kusaidia jamii kuliko kila siku kuendekeza siasa..