Nimekua nikiwaza sana,kua mikoa ikionekana mikubwa inagawanywa kupata mikoa mipya.Majimbo yakiwa makubwa yanagawanywa kupata majimbo mapya.Je wingi wa majimbo na wingi wa mikoa ndio maendeleo?Kama ni ndio Mbona Tanzania nayo ni kubwa?Nisaidie tafadhali kujibu haya maswali