Mawazo ushauri mitazamo ..message hizi zinawafikiaje walengwa .....?

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,374
JF Siasa ni jukwaa ambalo limekuwa na wapenzi wengi wenye upeo mkubwa sana wa kuona mbali ..na wenye ushauri wenye hekima unaozama ndani sana na kwa kina kabisa ambao wahusika wakitekeleza ushauri na mawazo haya nchi yetu haitaendelea kuwa katika wimbi kubwa la umasikini,ufisadi ,Umeme na huduma nyingine muhimu kwa wananchi

Je message hizi zinawafikia walengwa kweli ??

Can%27t+stop+thinking+cartoon.gif


FL1
 
hehehheee,kumbe ujumbe wa tiba jana ulifika mahali sahihi ,leo mamaa umeamua kujikita kwenye siasa, hehehe.
kujibu swali lako,wale mafisadi wenyewe unawafikia vizuri ila wana mioyo migumu kama wana wa Israel.Hawataki kubadilika.Halafu hata humu JF wengine ni member.
Na hao victims wa ufisadi yaani wadanganyika hauwafikii,kwa kuwa wapiga kura wengi wapo vijijini ,halafu hawana kompyuta kama mimi na wewe.
 
ndio maana kwenye baadhi ya maofisi ya serikali wameiblock jamii forums website,
ili kuziba masikio.
ujumbe unawafikia ile kisawasawa
 
hehehheee,kumbe ujumbe wa tiba jana ulifika mahali sahihi ,leo mamaa umeamua kujikita kwenye siasa, hehehe.
kujibu swali lako,wale mafisadi wenyewe unawafikia vizuri ila wana mioyo migumu kama wana wa Israel.Hawataki kubadilika.Halafu hata humu JF wengine ni member.
Na hao victims wa ufisadi yaani wadanganyika hauwafikii,kwa kuwa wapiga kura wengi wapo vijijini ,halafu hawana kompyuta kama mimi na wewe.

What can we do to make all these msgs delivered to Wadanganyika?
 
ndio maana kwenye baadhi ya maofisi ya serikali wameiblock jamii forums website,
ili kuziba masikio.
ujumbe unawafikia ile kisawasawa

Vizuri sana, tena sana, lakini ingekuwa vizuri zaidi na zaidi kama maujumbe na michakato yoote inayojadiliwa humu (ya kisiasa) ingewafikia Wananchi wote hasa wa vijijini na hata wa mjini ambao hawana vyanzo vya habari kama hivi. How do we go about this?
 
ndio maana kwenye baadhi ya maofisi ya serikali wameiblock jamii forums website,
ili kuziba masikio.
ujumbe unawafikia ile kisawasawa

sipati picha baadhi ya ofisi wameblock jamii forum ,,wakimaanisha hawataki kukosolewa maovu yao ..nchi hii ina hatari kweli kweli
 
hehehheee,kumbe ujumbe wa tiba jana ulifika mahali sahihi ,leo mamaa umeamua kujikita kwenye siasa, hehehe.
kujibu swali lako,wale mafisadi wenyewe unawafikia vizuri ila wana mioyo migumu kama wana wa Israel.Hawataki kubadilika.Halafu hata humu JF wengine ni member.
Na hao victims wa ufisadi yaani wadanganyika hauwafikii,kwa kuwa wapiga kura wengi wapo vijijini ,halafu hawana kompyuta kama mimi na wewe.

ZD unajua kuna vitu huwa vinatuumiza sana vichwa lakini mwisho wa siku unajikuta umegonga ukuta

Natamani siku moja wanipe nafasi niingie pale mjengoni nikawe Pilato nianze kutoa hukumu za haki grigriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Firstlady ujumbe una wafikia walengwa wote. Tatizo ni kama wana fanyia kazi yanayo semwa humu. Kumbuka information is power and those in power I guarantee you are interested to know what people know and are saying.
 
ZD unajua kuna vitu huwa vinatuumiza sana vichwa lakini mwisho wa siku unajikuta umegonga ukuta

Natamani siku moja wanipe nafasi niingie pale mjengoni nikawe Pilato nianze kutoa hukumu za haki grigriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Sababu unayo, na uwezo unao pengine nia ndio hauna.anzia kwanza kuingia kwenye vyama vya akina mama chama chochote cha siasa,chadema au ccm.then huko hakikisha unaukwaa uongozi then utakuwa na nafasi kubwa ya kuwa decion maker.
vinginevyo anzisha NGO ya wanaharakati kama HAKIELIMU NA TAMWA,ili upate mdomo wa kukemea angalau.
 
FL,Ujumbe wa yote tunayo jadili humu JF unawafikia walengwa lakini kama ZD alivyosema mafisadi na serikali yao wana roho ngumu kama chuma. Lakini sisi tuendelee kueleza umma na tufichue mauchafu yaliyomo maofisini mwetu mpaka watajua maana ya JF ni nini.
 
I personally haven't seen the impact of JF. Hapa ni sehemu watu wanapeana moyo na kujifanya wajuaji! Utekelezaji 0. No one dares to go beyond their keyboard! ivi kweli wewe unajaribu kumshauri PM? Wewe ni nani? Eti unasema Kikwete kashindwa...wewe ni nani? Ni sawa kama members wenye impact kama Slaa au Zitto wangeyasema hayo. Lakini wanayoyasema kwanza wameficha true ID zao!hahaha
MWJJ aliandika ripoti ya yale machimbo, ikauzwa hapa!! What happened? Kikwete is still the president and am 80% certain atakuwa rais in 2010! At the same time, JF will still be on air...reaching <1% of the population. Mkitaka kuwa na impact zaidi...NI LAZIMA ku-take part in the community! Jengeni mashule, safisheni miji, fanyeni yote mnayoyapigia kelele hapa.
But dont get me wrong, I like JF na inatoa habari nyingi. But impact wise...0. Anyway, that's my take.... So hate me!
 
15% ya mawazo ya JF, yanachukuliwa na magazeti, na 5% ya hayo mawazo yaliyopo kwenye magazeti yanasomwa na wahusika. 1% ya mawazo yanasomwa na wahusika, yanafikiriwa kufanyiwa kazi, na 0.1% ya yanafikiriwa yanatekelezwa na ni only 0.001% ya mawazo yanayotekelezwa yanatekelezwa kama ilivyotakiwa.
 
Back
Top Bottom