Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Kama kadume katakuwa kanasura ya mamake
Mtoto kama huyu badala ya kurahia michezo anawaza sijui atakula nini au maji yanapatikana wapi? Hii ndio nchi yetu ya amani na utulivu.
kakike bwana unajua kanawaza nini!!!!!!!!!!? mateso waliyopata ndugu zetu kule Arusha, je itakuwaje pindi atakapokuja kukua miaka hiyo?
achio maber, into ichio nade?yap jaluo,ochio nande?