Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,783
- 59,149
Kwanza nianze ni kakaz.....
Kwanza kabisa linapokuja swala la kumwaga..kupokea sera na kutoa majibu kama mwanamke naamini hua tunajua kabisa jibu letu la mwisho litakua nini kabla hata hujamaliza kumwaga sera...labda sio wote ila baadhi!!Mtu anaweza kuona picha ya wewe na yeye pamoja kichwani mwake au picha ikawa imeungua.
Newayz swali langu kwenu ni hivi...kama mtu tayari amevutiwa na wewe na sera yako ameikubali moyoni je akusumbue au akuambie ukweli???Hapa simaanishi hapo hapo ila hata kesho yake au siku chache baadae??? Kama ambavyo nilifundishwa na mzee wangu kwamba hata kama tayari unajua uamuzi wako kuhusu kitu fulani....usitoe jibu au uamuzi papo hapo...''SLEEP ON IT '' ili ujipe muda wa kubadili mawazo au kujihakikishia kwamba unachotaka ndicho unachotaka!!!
Na hapa siongelei urahisi wa kumkubali yeyote bali kumrahisishia kazi unaemkubali..... kwa hiyo tusichanganye mambo!!
Kwa upande wa experience....dadaz kama mtu umemkubali as in umeridhika nae tangu anafungua kinywa chake je itakuchukua muda gani kumwambia kwamba umeridhia ombi lake?
Kwa wote....je muda anaochukua mtu kukubali unaathiri vipi malengo ya mahusiano???
Kwa wale nataka sitaki....leo ahhh mi sitaki kesho ukipewa nini sijui tayari umekubali!!Kama mtu huna uhakika badala ya kumpa mtu majibu ambayo kesho yatakuumbua ukikubali kwanini wasiwe wanasema wanahitaji muda wa kufikiri?Hapo jibu lolote utakalotoa baadae linakua ndilo na la uhakika na sio kuonekana kigeugeu!!!!
BTW hapa naongelea watu ambao wanafahamiana tayari....kwanzia miezi mitatu na zaidi!!!
Kwanza kabisa linapokuja swala la kumwaga..kupokea sera na kutoa majibu kama mwanamke naamini hua tunajua kabisa jibu letu la mwisho litakua nini kabla hata hujamaliza kumwaga sera...labda sio wote ila baadhi!!Mtu anaweza kuona picha ya wewe na yeye pamoja kichwani mwake au picha ikawa imeungua.
Newayz swali langu kwenu ni hivi...kama mtu tayari amevutiwa na wewe na sera yako ameikubali moyoni je akusumbue au akuambie ukweli???Hapa simaanishi hapo hapo ila hata kesho yake au siku chache baadae??? Kama ambavyo nilifundishwa na mzee wangu kwamba hata kama tayari unajua uamuzi wako kuhusu kitu fulani....usitoe jibu au uamuzi papo hapo...''SLEEP ON IT '' ili ujipe muda wa kubadili mawazo au kujihakikishia kwamba unachotaka ndicho unachotaka!!!
Na hapa siongelei urahisi wa kumkubali yeyote bali kumrahisishia kazi unaemkubali..... kwa hiyo tusichanganye mambo!!
Kwa upande wa experience....dadaz kama mtu umemkubali as in umeridhika nae tangu anafungua kinywa chake je itakuchukua muda gani kumwambia kwamba umeridhia ombi lake?
Kwa wote....je muda anaochukua mtu kukubali unaathiri vipi malengo ya mahusiano???
Kwa wale nataka sitaki....leo ahhh mi sitaki kesho ukipewa nini sijui tayari umekubali!!Kama mtu huna uhakika badala ya kumpa mtu majibu ambayo kesho yatakuumbua ukikubali kwanini wasiwe wanasema wanahitaji muda wa kufikiri?Hapo jibu lolote utakalotoa baadae linakua ndilo na la uhakika na sio kuonekana kigeugeu!!!!
BTW hapa naongelea watu ambao wanafahamiana tayari....kwanzia miezi mitatu na zaidi!!!