Mawaziri wenye PhD Feki hawa hapa!

Zed,
Huko Mahakamani nako utakuta JAJI anayepelekewa kesi hizi ana cheti feki cha kidato cha sita! Mambo ni magumu NCHI hii, we acha tu.

BTW, yale ya Mbunge Chitalilo yaliishia wapi?

WC, Hii nchi ngumu sana...

Tumeshaona wasomi feki
Bidhaa kibao feki
mikataba feki
kesi feki
dhamana feki
Raia feki
ahadi feki
Mitihani feki

Sasa subiri utasikia
Mashtaka feki
makaripio feki [kutoka kwa mkuu]
ahadi feki


sijui tumebakiza nini tena feki

Kenya ni nchi ya kitu kidogo... Tanzania iwe nchi ya mafeki tu!
 
Hatari kubwa hasa pale nchi inapokamatwa na matapeli na mafisadi.

Je watanzania mtapona hapo
 
Ipo kazi maana kama hata qualifications ni zakupika, watapika vingapi wakiwa maofisini? Labda Dr Matayo David anajiita Dr kwasababu alisomea vetenary SUA
 
Namshangaa huyu Msemakweli anavyojaribu kupambana na rais! Hawa wote wameteuliwa na rais, na kabla ya uteuzi kama huo lazima anaangalia CV zao.

Hakuna mwenye nia ya kuwafanya chochote hawa hata ingekuwa ni kweli wamevunja sheria yoyote ya nchi. Si mpaka serikali ipate ushahidi kamili? Hebu acheni bana.

Tofauti ya msingi (Tanzania tu) kati ya private sector na public service ni kwamba private sector ina 0% tolerance to fraud, theft, inefficiency, poor performance, ufisadi, na ujinga ujinga wote wakati serikalini wao ni 100%. The more you damage the more you are safe guarded.

Shishye, duh...

Hapo ndipo utakapochoka na vetting system yetu, na kuna wakati jamaa wanachukua hadi 10 months kum-vett mtu ndio wamuajiri, sijui wanatumia mbinu zipi
 
Tanzania ,udoctor umekuwa loose sana!Nchi zilizoendelea it is not a big deal.Medical doctors ndio wanajulikana kuwa real doctors.Ukienda vyuo vikuu pia,kwa sababu genuine Phd ziko huko!Condoleesa Rice ana Phd,lakini
hakujiweka mbele kujiita dr.Hata secretary wa defence wa sasa USA,Robert Gates ,ana Phd ,lakini hujawahia kumsikia anaitwa dr.

Hata Slaa sio lazima ajiite Dr!Ana JD,sawa na Obama!Umeshamsikia Obama anajiita DR?
Nafikiri tanzania Phd za akina Salmin Amour na Salim Ahmed Salim zimechangia watu kupata Phd fake online!Dunia nzima kwenye academic circles zinajua Tanzania kuna watu wanu Phd fake!
Nchi inadidimia kimaadili
 
WC, Hii nchi ngumu sana...

Tumeshaona wasomi feki
Bidhaa kibao feki
mikataba feki
kesi feki
dhamana feki
Raia feki
ahadi feki
Mitihani feki

Sasa subiri utasikia
Mashtaka feki
makaripio feki [kutoka kwa mkuu]
ahadi feki


sijui tumebakiza nini tena feki

Kenya ni nchi ya kitu kidogo... Tanzania iwe nchi ya mafeki tu!

Ndio maana hata rais alipoulizwa kwanini Tanzania ni maskini, alikosa jibu! Ina maana hata elimu ya mawaziri wake hajui ni feki?
 
Ndio maana hata rais alipoulizwa kwanini Tanzania ni maskini, alikosa jibu! Ina maana hata elimu ya mawaziri wake hajui ni feki?

alafu sijui ata wafukuza kazi au labda vyeti vyenyewe kawachongea yeye ili awapachike papo walipo.
 
Ndio maana hata rais alipoulizwa kwanini Tanzania ni maskini, alikosa jibu! Ina maana hata elimu ya mawaziri wake hajui ni feki?
Watanzania tuna sifa kubwa mbili:
1. Kumiliki au kutumia vitu feki
2. Kumiliki au kutumia vitu "used".
Kwenye vitu feki ndio utakuta vyeti, bidhaa za madukani, kubambikiwa watoto,ajira zisizo na malipo stahiki, cd na kanda za muziki za kubumba,....
Kwa vitu "used" utakuta magari, vifaa vya majumbani na ofisini, mke/mme,....
 
Jamani waruhisiwe sasa waende kusoma na kutetea taaluma zao kama zipo.
UDSM , na UDOM pale kuna uhaba wa wahadhiri wakati Baraza La Mawaziri kuna chem chem ya wasomi wenye hadhi ya U-"Dr".
Tuwatumie
 
Namshangaa huyu Msemakweli anavyojaribu kupambana na rais! Hawa wote wameteuliwa na rais, na kabla ya uteuzi kama huo lazima anaangalia CV zao.

Hakuna mwenye nia ya kuwafanya chochote hawa hata ingekuwa ni kweli wamevunja sheria yoyote ya nchi. Si mpaka serikali ipate ushahidi kamili? Hebu acheni bana.

Tofauti ya msingi (Tanzania tu) kati ya private sector na public service ni kwamba private sector ina 0% tolerance to fraud, theft, inefficiency, poor performance, ufisadi, na ujinga ujinga wote wakati serikalini wao ni 100%. The more you damage the more you are safe guarded.
A very sad truth
 
Shishye, duh...

Hapo ndipo utakapochoka na vetting system yetu, na kuna wakati jamaa wanachukua hadi 10 months kum-vett mtu ndio wamuajiri, sijui wanatumia mbinu zipi

...not kwa political post........political post ni utashi wa Muungwana........thats only tells you alot abt JK
 
Naona wote mmewapa UWAZIRI! Wenye vyeo wakiliona hili patakuwa hapatoshi humu. Hapo WAZIRI ni "Dr" Nagu tu wengine ni manaibu.
Hata Dr. Kamala ni Waziri tena wa Afrika Mashariki. Spika hawezi kuwafanya lolote maana hiyo ndio kawaida ya mafisadi kule CCM. Isitoshe hawa ni wanamtandao.
 
Ndiyo maana wamekimbilia kwenye siasa maana huko hamna wa kuhakiki vyeti. Ingekuwa kwenye mashirika/taasisi labda ingekuwa rahisi kuhakiki. Ila kuanzishwa kwa TCU kunaonyesha matunda mazuri. Wakati ujao itakuwa rahisi maana rais akiteua wasaidizi wake itabidi orodha ipelekwe TCU kwa uhakiki. Ila kama uhakiki wenyewe unachukuwa mwaka nayo ngumu tena, waboreshe.

Hii ripoti inanipa utata kidogo, huyu mwanaharakiti si alitakiwa kuwasilisha ripoti kwa TCU, halafu TCU ndiyo itoe hiyo ripoti rasmi hadharani?(Who was suppossed to publish this report?) Nimeelewe yeye kama mkaguzi wa kujitegemea. Haegemei po pote lakini anaripoti TCU. Au alitumwa na Bunge letu?

asanteni

Tusimlaumu rais kwa uteuzi wake.
 
Nchimbi%282%29.jpg


.....huyu Waziri wetu alipata Phd.kabla ya Masters, Wanazuoni walipohoji utaratibu huu basi akaenda kujiandikisha pale Mzumbe kwa post graduate diploma...Tanzania ni Nchi 'Nzuri' na yenye 'Maajabu' kweliX2!!!
 
Nchimbi%282%29.jpg


.....huyu Waziri wetu alipata Phd.kabla ya Masters, Wanazuoni walipohoji utaratibu huu basi akaenda kujiandikisha pale Mzumbe kwa post graduate diploma...Tanzania ni Nchi 'Nzuri' na yenye 'Maajabu' kweliX2!!!

Yaani Diploma ya Mzumbe ni equivalent na masters to warrant a PhD!
 
...not kwa political post........political post ni utashi wa Muungwana........thats only tells you alot abt JK

Thanks Ogah, it is very clear to me that if we are to really move this country to the right direction, hata hiyo presidency institution nayo itahitaji review ya hali ya juu!!!

Thanks again...
 
kisha najishangaa kwa nini ninasota kutafuta Phd wakati wenzetu wanambinu za kupata bila ya kusota, na kupongezwa kwao kupewa uwaziri!
 
Sishangai hizo habari zikawa za moto leo, then after two days zisisike tena masikioni mwetu
 
The funny part of this debate is that many if not most people fail to separate wheat from chaff. How do you put a forgery case in the same page with presenting genuine but unrecognized certificates?
 
Back
Top Bottom