TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
Zed,
Huko Mahakamani nako utakuta JAJI anayepelekewa kesi hizi ana cheti feki cha kidato cha sita! Mambo ni magumu NCHI hii, we acha tu.
BTW, yale ya Mbunge Chitalilo yaliishia wapi?
WC, Hii nchi ngumu sana...
Tumeshaona wasomi feki
Bidhaa kibao feki
mikataba feki
kesi feki
dhamana feki
Raia feki
ahadi feki
Mitihani feki
Sasa subiri utasikia
Mashtaka feki
makaripio feki [kutoka kwa mkuu]
ahadi feki
sijui tumebakiza nini tena feki
Kenya ni nchi ya kitu kidogo... Tanzania iwe nchi ya mafeki tu!