Prof. Mark Mwandosya & Dk. Ali Mohamed Shein ni mawaziri wasiokuwa na wizara malum ni uteuzi wa aina yake ambao haujawahi kutokea mahali popote pale Ulimwenguni.
...ni kati ya zile ajira zilizoaidiwa.
Mbona hushangai nchi moja kuwa na marais 5!
ofisi ya waziri mkuu ina mawaziri wengi sana wengine wapunguzwe...na kwa rais pia...unasikia waziri wa nch ofisi ya raisi utawala mara waziri wa nch ofisi ya waziri mkuu sijui ni ninii niii aah kupoteza helal tuu
Hakuna wizara kwa mawaziri wasio kuwa na wizara maalum. Nadhani wanakuwa na dereva na sekretari tu. Hawana muundo wa utumishi wa kiwizara mf kuwa na katibu mkuu na kuwasilisha budget. Kimsingi ni watu ambao Rais angependa wawepo kwenye baraza la mawaziri kutoa ushauri.Prof. Mark Mwandosya & Dk. Ali Mohamed Shein ni mawaziri wasiokuwa na wizara malum ni uteuzi wa aina yake ambao haujawahi kutokea mahali popote pale Ulimwenguni.
hapa umeweka na yule wa TFF, BFT, TFC, MASHAROBARA, na JK wa magogoni?
Prof. Mark Mwandosya & Dk. Ali Mohamed Shein ni mawaziri wasiokuwa na wizara malum ni uteuzi wa aina yake ambao haujawahi kutokea mahali popote pale Ulimwenguni.